• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 6:47 PM

Lawrence Munga: Pesa kwangu si hoja, hutumia zaidi ya Sh40, 000 kwa siku kununua pombe

NA MWANGI MUIRURI  MWANASIASA wa Kaunti ya Murang'a Bw Lawrence Munga amejitokeza kutangaza kwamba ni sonko wa ajabu ambaye hata mvinyo...

Mwanamume Murang’a aangamiza watoto wake wawili kwa kuwakatakata kama kisasi cha kuachwa na bibi

NA MWANGI MUIRURI  MWANAMUME kutoka Kaunti ya Murang'a ameenda mafichoni baada ya kuchinja watoto wake wawili wa kiume, wenye umri wa...

Wito wa viongozi wa kidini Kisii Rais Ruto na Odinga wapatane  

NA WYCLIFFE NYABERI BAADHI ya viongozi wa kanisa kutoka Kisii wamezidisha wito wa kutaka Rais William Ruto na kiongozi wa Azimio la...

Lalama utatuzi masuala ya Tsavo unakawia

NA LUCY MKANYIKA SERIKALI ya Kaunti ya Taita Taveta, imelalamikia jinsi utatuzi wa masuala tata kati yake na serikali ya kitaifa kuhusu...

Hakimu atoa onyo kwa walanguzi wa mihadarati na wagema Murang’a

NA MWANGI MUIRURI HAKIMU Mwandamizi Mahakama ya Kenol Bi Sheila Nyagah ametoa onyo kali kwa walanguzi wa mihadarati pamoja na wachuuzi wa...

Makahaba wakongwe na wachanga Thika wazozania bei na wateja

NA MWANGI MUIRURI MZOZO kati ya makundi mawili ya makahaba Thika umetokota, yakisemekana kuzozania bei ya huduma wanazotoa. Mvutano...

Gachagua atimiza ahadi ya mchele na nyama kwa wakazi Mlima Kenya, asema pia ya uji yaja

NA MWANGI MUIRURI  HATIMAYE ahadi ya Naibu wa Rais Rigathi Gachagua ya kuwatuza wenyeji wa Mlima Kenya mlo wa wali, nyama na viazi kama...

Ashangaza kutoa kilemba akiteta Mungu ‘amemuacha’ baada ya kupoteza Sh800 katika kamari

NA MWANGI MUIRURI Murang'a Mjini  MWANAMUME mmoja wa Imani ya Akorino mnamo Jumamosi alitoa kilemba chake akiteta kwamba Mungu...

Mashirika ya kutetea haki yamkemea Kindiki

HILARY KIMUYU Na VICTOR RABALLA CHAMA cha Wanasheria Nchini (LSK) na mashirika mawili ya kutetea haki yamemkemea Waziri wa Usalama wa...

Waiguru na Wangui Ngirici wazika tofauti zao

NA MWANGI MUIRURI GAVANA wa Kirinyaga Anne Waiguru kwa mara ya kwanza amekumbatiana hadharani na kusalimiana na aliyekuwa mpinzani wake...

Pasta ashtakiwa kujeruhi mwanamke nyeti akimuombea

NA JOSEPH NDUNDA MCHUNGAJI anayedaiwa kuingiza mkono wake sehemu za siri za mwanamke mgonjwa akidai kumfanyia “maombi ya uponyaji”...

LSK yapinga Sheria ya Fedha ya 2023

NA RICHARD MUNGUTI CHAMA cha Wanasheria Nchini (LSK) kimewasilisha kesi kupinga utekelezaji wa Sheria ya Fedha, 2023 inayoshurutisha...