NA MWANGI MUIRURI MWANASIASA wa Kaunti ya Murang'a Bw Lawrence Munga amejitokeza kutangaza kwamba ni sonko wa ajabu ambaye hata mvinyo...
NA MWANGI MUIRURI MWANAMUME kutoka Kaunti ya Murang'a ameenda mafichoni baada ya kuchinja watoto wake wawili wa kiume, wenye umri wa...
NA WYCLIFFE NYABERI BAADHI ya viongozi wa kanisa kutoka Kisii wamezidisha wito wa kutaka Rais William Ruto na kiongozi wa Azimio la...
NA LUCY MKANYIKA SERIKALI ya Kaunti ya Taita Taveta, imelalamikia jinsi utatuzi wa masuala tata kati yake na serikali ya kitaifa kuhusu...
NA MWANGI MUIRURI HAKIMU Mwandamizi Mahakama ya Kenol Bi Sheila Nyagah ametoa onyo kali kwa walanguzi wa mihadarati pamoja na wachuuzi wa...
NA MWANGI MUIRURI MZOZO kati ya makundi mawili ya makahaba Thika umetokota, yakisemekana kuzozania bei ya huduma wanazotoa. Mvutano...
NA MWANGI MUIRURI HATIMAYE ahadi ya Naibu wa Rais Rigathi Gachagua ya kuwatuza wenyeji wa Mlima Kenya mlo wa wali, nyama na viazi kama...
NA MWANGI MUIRURI Murang'a Mjini MWANAMUME mmoja wa Imani ya Akorino mnamo Jumamosi alitoa kilemba chake akiteta kwamba Mungu...
HILARY KIMUYU Na VICTOR RABALLA CHAMA cha Wanasheria Nchini (LSK) na mashirika mawili ya kutetea haki yamemkemea Waziri wa Usalama wa...
NA MWANGI MUIRURI GAVANA wa Kirinyaga Anne Waiguru kwa mara ya kwanza amekumbatiana hadharani na kusalimiana na aliyekuwa mpinzani wake...
NA JOSEPH NDUNDA MCHUNGAJI anayedaiwa kuingiza mkono wake sehemu za siri za mwanamke mgonjwa akidai kumfanyia “maombi ya uponyaji”...
NA RICHARD MUNGUTI CHAMA cha Wanasheria Nchini (LSK) kimewasilisha kesi kupinga utekelezaji wa Sheria ya Fedha, 2023 inayoshurutisha...