• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 3:07 PM

AAR kutoa huduma za afya katika eneo pana la Tatu City

NA LAWRENCE ONGARO AAR Healthcare wamejitolea kushirikiana na Tatu City kwa lengo la kuimarisha utoaji wa huduma za afya kwa...

Wazee wa vijiji kutambuliwa rasmi kisheria

NA MARY WANGARI WAZEE wa vijiji ambao wamekuwa wakijituma kuimarisha usalama mashinani bila malipo huenda hatimaye wakatambuliwa rasmi...

Shule ya Upili ya St Edward Nyabioto – Kisii yamulikwa kwa utepetevu mwanafunzi kupotea

NA WYCLIFFE NYABERI FAMILIA moja katika kijiji cha Geteni, Kaunti ya Nyamira inaililia serikali kuisaidia kutafuta mtoto wao baada ya...

Pigo kwa agizo la Ruto kuruhusu ukataji miti kwenye misitu

NA SAM KIPLAGAT MAHAKAMA ya Mazingira na Masuala ya Ardhi imesitisha agizo la Rais William Ruto kuondoa marufuku ya ukataji miti kwenye...

Ashtakiwa kwa kutaka kulamba kifua cha polisi

NA JOSEPH NDUNDA MWANAMUME mmoja mwenye umri wa miaka 29 aliyejaribu kufikia kifua cha afisa wa polisi wa kike aliyekuwa akimkamata...

Seneta amwambia Kawira ahakikishe bajeti inafikia idara zote

NA CHARLES WASONGA SENETA wa Meru Kathuri Murungi amemtaka Gavana wa Kaunti hiyo Kawira Mwangaza kuhakikisha kuwa serikali yake inatumia...

Shakahola: Awamu ya nne ya upasuaji wa maiti yakamilika

NA ALEX KALAMA  AWAMU ya nne ya upasuaji wa miili iliyoondolewa kwenye makaburi yaliyofukuliwa katika msitu wa Shakahola imekamilika...

Watoto wa aliyekuwa mwenyekiti wa ‘Men’s Conference’ wapeleka mzozo kortini

NA TITUS OMINDE MZOZO wa urithi wa mali ya mabilioni ya aliyekuwa mwanasiasa na mfanyabiashara marehemu Jackson Kibor, umefikishwa...

Ajabu mwanamke mjamzito ‘kujifungua’ akiwa chooni bila kujua na mtoto kutumbukia    

  NA MERCY KOSKEI MWANAMKE aliyetarajia kujifungua katika Kaunti ya Kakamega amewashangaza wengi baada ya kudai kuwa alimtupa...

Ulevi wa wanafunzi Murang’a mjini wakera wenyeji 

NA MWANGI MUIRURI  WAKAZI wa Mji wa Murang'a wameelezea masikitiko yao na jinsi vitengo vya kiusalama huruhusu wanafunzi kuponda raha...

Mwamunga alihudumu enzi ya Kenyatta na Moi

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK Eliud Timothy Mwamunga alikuwa mwanasiasa mtajika kutoka Pwani hata kabla ya Kenya kupata uhuru na baadaye...

Watano wakamatwa polisi wakitwaa vifaa vya kielektroniki

NA SAMMY KIMATU WAKAZI katika mitaa ya mabanda ya Mukuru iliyoko katika tarafa ya South ‘B’, kaunti ndogo ya Starehe wanaweza kulala...