• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 11:13 AM

Himizo watu watumie nguvu za umeme kufanya mapishi

NA SIAGO CECE KWA muda mrefu, Wakenya wengi wamekuwa wakitumia kuni, makaa na gesi kupikia huku, wachache wakitumia vifaa vya...

Askofu asihi Rais kuingilia kati kusuluhisha mgomo wa madaktari

NA BRIAN OCHARO ASKOFU Mkuu wa Dayosisi ya Mombasa Kanisa la Katoliki Martin Kivuva ameitaka serikali kufanya mazungumzo na madaktari...

Nogesha ngoma chumbani, mchepuko si suluhu

NA MWANDISHI WETU BAADHI ya watu wanalia kwamba ndoa zao zimekosa raha kwa kuwa wake au waume wao wamezembea chumbani. Wanalalamika...

Wanasiasa waonywa dhidi ya kuzua ghasia mazishini

NA SHABAN MAKOKHA WANASIASA kutoka eneo la Magharibi mwa Kenya, wameonywa dhidi ya kuzua ghasia katika hafla za mazishi na kunyima...

Polisi wachunguza ajali iliyoua watu wanne

NA GEORGE MUNENE POLISI wanachunguza kilichosababisha ajali iliyoua watu wanne kwenye barabara ya Gatuto- Baricho, Kaunti ya...

Kinaya Babu Owino akitishia kupeleka maandamano Nyeri  

NA WANDERI KAMAU MNAMO Alhamisi, mbunge Babu Owino (Embakasi Mashariki) alitishia kupeleka maandamano katika Kaunti ya Nyeri, ikiwa...

Mvumbuzi wa ‘Kata Simu, Tupo Site’ akata kamba… Je, ulimjua?

NA WANDERI KAMAU TANZANIA inaomboleza kifo cha mcheshi Umar Iahbedi Issa almaarufu 'Mzee Mjegeje' aliyefariki mnamo Jumatano. Ripoti...

Rashid Echesa akosa kufika mahakamani kwa mara ya pili

NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA waziri wa Michezo Rashid Echesa aliyeamriwa na Mahakama kuu ashtakiwe upya mnamo Machi 4,2024 hakufika...

Muungano wa wafanyabiashara wasikitikia wanaotegemea wateja wa baa

NA MWANGI MUIRURI  MISAKO dhidi ya baa zinazohudumu siku nzima imelemaza mfumo kuendeleza uchumi kwa muda wa saa 24 mfululizo eneo la...

Anavyoteka hela kupitia viungo maalum vya kuku  

NA SAMMY WAWERU  ZICK Onyango alipopoteza ajira miaka kadhaa iliyopita, hakujua hatma ya maisha yake ikizingatiwa kuwa ni mume...

Ramadhani: Wachuuzi wa vyakula wakwepa hasara mbunge wa zamani akivinunua

NA CHARLES ONGADI  KUFUATIA hali ngumu ya maisha wafanyabiashara wa mapato ya chini na ya kadri hususan mashinani wamekuwa wakipitia...

Polisi wakataa kuzungumzia mauaji ya mlanguzi wa dawa

NA BRIAN OCHARO MLANGUZI wa mihadarati Yusuf Ahmed Swaleh, almaarufu Candy Rain, amekufa katika hali ya kutatanisha huku wakuu wa polisi...