• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Jombi atozwa Sh30, 000 kwa kugusa uchi wa mwanamitindo

NA MWANGI MUIRURI  Murang’a Mjini POLO katika baa moja ya hapa ambayo wanawake hunengua viuno wakiwa uchi alipata mshtuko si haba...

Watu 300 wanaoishi na ulemavu Thika wapokea msaada

NA LAWRENCE ONGARO SHIRIKA la Hope Mobility Kenya limewafaa watu 300 wanaoishi na ulemavu kwa kuwapa viti vya magurudumu kwenye hafla...

Obado ataka korti iamuru DPP kumpa taarifa ya mwanawe

NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Gavana wa Migori Okoth Obado ameomba Mahakama Kuu iamuru Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) ampe taarifa...

Sheria ya Fedha 2023 kuanza kutekelezwa

NA RICHARD MUNGUTI WAKENYA sasa wataanza kutozwa ushuru kwa lazima baada ya Mahakama ya Rufaa kufutilia mbali agizo la kuzima...

Aliyemuua mkewe kwa kumpakulia wali bila nyama afungwa miaka 15

NA MWANGI MUIRURI MWANAMUME mwenye umri wa miaka 56 kutoka Kaunti ya Embu aliyemuua mkewe akilalamika kwamba alimwandalia chakula bila...

Mradi wa mabohari wa The Link kusaidia kuimarisha uchumi

NA LAWRENCE ONGARO KUNA haja ya kujenga mabohari ya kuhifadhi bidhaa hasa kunufaisha wakazi wa Kaunti ya Kiambu na maeneo...

Tanzia: Mwanafunzi mwenye ulemavu akiteketezwa na moto Kaiyaba hadi kufa

Na SAMMY KIMATU MWANAFUNZI mwenye ulemavu alifariki Jumatatu, Julai 24, 2023 kufuatia kisa cha moto uliozuka eneo la Mandazi Road, katika...

MCA ashtakiwa kwa uchochezi wa maandamano

NA RICHARD MUNGUTI DIWANI wa Wadi ya Makongeni, Nairobi Peter Imwatok ameshtakiwa kwa kuchochea vurugu wakati wa maandamano ya Azimio....

Koech ahepa kifungo kwa radhi zake Rais

NA BENSON MATHEKA RAIS William Ruto jana Jumanne alimsamehe aliyekuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Matibabu Kenya (KEMRI), Dkt...

Mbunge wa Mathare ashtakiwa baada ya ‘kuzungushwa hii town’

NA RICHARD MUNGUTI BAADA ya kuwazuilia na kuwaficha kwa siku nne mfululizo, polisi hatimaye waliwafikisha kortini Mbunge wa Mathare...

Maafisa wa zamani KEMSA wakiri kuikosesha Kenya Sh74 milioni

NA MARY WANGARI USIMAMIZI wa awali wa Mamlaka ya Kusambaza Vifaa vya Matibabu Nchini (KEMSA) umekiri kwamba ulivuruga kandarasi yake na...

Gari lapata pancha, walanguzi wa bangi wachomoka mbio

NA RUTH MBULA MAAFISA wa polisi mjini Kisii wamefanikiwa kutwaa magunia mawili ya bangi yenye thamani ya Sh1.5 milioni ambayo ilikuwa...