• Nairobi
  • Last Updated May 9th, 2024 6:40 PM

Ashangaza kutoa kilemba akiteta Mungu ‘amemuacha’ baada ya kupoteza Sh800 katika kamari

NA MWANGI MUIRURI Murang'a Mjini  MWANAMUME mmoja wa Imani ya Akorino mnamo Jumamosi alitoa kilemba chake akiteta kwamba Mungu...

Mashirika ya kutetea haki yamkemea Kindiki

HILARY KIMUYU Na VICTOR RABALLA CHAMA cha Wanasheria Nchini (LSK) na mashirika mawili ya kutetea haki yamemkemea Waziri wa Usalama wa...

Waiguru na Wangui Ngirici wazika tofauti zao

NA MWANGI MUIRURI GAVANA wa Kirinyaga Anne Waiguru kwa mara ya kwanza amekumbatiana hadharani na kusalimiana na aliyekuwa mpinzani wake...

Pasta ashtakiwa kujeruhi mwanamke nyeti akimuombea

NA JOSEPH NDUNDA MCHUNGAJI anayedaiwa kuingiza mkono wake sehemu za siri za mwanamke mgonjwa akidai kumfanyia “maombi ya uponyaji”...

LSK yapinga Sheria ya Fedha ya 2023

NA RICHARD MUNGUTI CHAMA cha Wanasheria Nchini (LSK) kimewasilisha kesi kupinga utekelezaji wa Sheria ya Fedha, 2023 inayoshurutisha...

AAR kutoa huduma za afya katika eneo pana la Tatu City

NA LAWRENCE ONGARO AAR Healthcare wamejitolea kushirikiana na Tatu City kwa lengo la kuimarisha utoaji wa huduma za afya kwa...

Wazee wa vijiji kutambuliwa rasmi kisheria

NA MARY WANGARI WAZEE wa vijiji ambao wamekuwa wakijituma kuimarisha usalama mashinani bila malipo huenda hatimaye wakatambuliwa rasmi...

Shule ya Upili ya St Edward Nyabioto – Kisii yamulikwa kwa utepetevu mwanafunzi kupotea

NA WYCLIFFE NYABERI FAMILIA moja katika kijiji cha Geteni, Kaunti ya Nyamira inaililia serikali kuisaidia kutafuta mtoto wao baada ya...

Pigo kwa agizo la Ruto kuruhusu ukataji miti kwenye misitu

NA SAM KIPLAGAT MAHAKAMA ya Mazingira na Masuala ya Ardhi imesitisha agizo la Rais William Ruto kuondoa marufuku ya ukataji miti kwenye...

Ashtakiwa kwa kutaka kulamba kifua cha polisi

NA JOSEPH NDUNDA MWANAMUME mmoja mwenye umri wa miaka 29 aliyejaribu kufikia kifua cha afisa wa polisi wa kike aliyekuwa akimkamata...

Seneta amwambia Kawira ahakikishe bajeti inafikia idara zote

NA CHARLES WASONGA SENETA wa Meru Kathuri Murungi amemtaka Gavana wa Kaunti hiyo Kawira Mwangaza kuhakikisha kuwa serikali yake inatumia...

Shakahola: Awamu ya nne ya upasuaji wa maiti yakamilika

NA ALEX KALAMA  AWAMU ya nne ya upasuaji wa miili iliyoondolewa kwenye makaburi yaliyofukuliwa katika msitu wa Shakahola imekamilika...