• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 8:50 AM

Mjadala mkali wa mapadri kuendelea kuzimwa kuoa

NA MWANGI MUIRURI MAPADRI wa kiume, kwenye muungano uliolegeza msimamo wa Kanisa wa kuwazima kuoa, wamesema wakati umefika wa kuangazia...

‘Padri na mrembo wake walijienjoi kwa zaidi ya miaka 6’

NA MWANGI MUIRURI MWANAMKE aliyekuwa amekesha katika lojing'i ya Murang'a akiwa na Padri wa Kanisa Katoliki Joseph Kariuki aliyeaga...

Makahaba waliopora mwanamume Sh250, 000 Makutano ya Mwea wakamatwa

NA MWANGI MUIRURI KAHABA wawili wanaodaiwa kupora mwanamume Sh250, 000 wlaitiwa nguvuni wikendi eneo la Makutano, katika mpaka wa Kaunti...

Padri wa Kanisa la Katoliki apatikana ameaga dunia kwenye lojing’i Murang’a baada ya kukesha na kipusa wakijivinjari

NA MWANGI MUIRURI PADRI wa Kanisa la Katoliki alipatikana amefariki Jumamosi, Julai 8, 2023 kwenye lojing’i Murang’a, ambapo...

Mume na mke watambuliwa kortini kama wavamizi wa mkurugenzi wa benki

NA RICHARD MUNGUTI MKE na mume wametambuliwa mahakamani kama washukiwa wakuu katika kesi ya wizi wa kimabavu dhidi ya mkurugenzi wa...

Mbunge asema ilibidi atafute wafadhili kujaza kibaba cha basari

NA LAWRENCE ONGARO SERIKALI imehimizwa kuongeza mgao wa fedha za ustawishaji wa maeneobunge (NG-CDF) kwa sababu idadi ya wanafunzi...

Maandamano ya Azimio yalivyosambaa Saba Saba

NA WAANDISHI WETU UASI dhidi ya serikali jana Ijumaa ulionekana kuenea huku maandamano yaliyoendelezwa na Upinzani yakishamiri na...

Mbunge wa Gatanga atoa onyo sharti Del Monte igawe ekari 2, 000 za shamba kwa raia

NA MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Gatanga Bw Edward Muriu ameonya kampuni ya Amerika ya Del Monte inayomiliki zaidi ya ekari 30, 000 za...

Mjane akimbilia mahakama kunusuru kipande cha ardhi

NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu imesitisha ujenzi wa  taasisi ya elimu inayodhaminiwa na Ubalozi wa Uturuki katika ardhi ya ukubwa wa...

Wadi Nairobi isiyo na hospitali wala shule ya umma

NA WINNIE ONYANDO DIWANI (MCA) wa Lindi katika Kaunti ya Nairobi Samson Ochieng Jera amethibitisha kuwa wadi yake haina hospitali, shule...

Maiti bila kichwa na mikono yapatikana katika shamba la mpunga

NA MWANGI MUIRURI WENYEJI wa eneo la Mwea katika Kaunti ya Kirinyaga mnamo Jumanne wamepigwa na butwaa baada ya kukumbana na mwili wa...

KTDA: Bonasi ya chai kuchelewa

NA MWANGI MUIRURI WAKUZAJI wa majanchai nchini wameambiwa wasubiri hadi Oktoba 2023 kupokea bonasi kinyume na vile wamekuwa wakiipata...