NA KALUME KAZUNGU WAKIMBIZI wanaoishi kwenye kambi ya Shule ya Msingi ya Juhudi, kaunti ya Lamu wamemzomea kamishna wa eneo hilo Bw Louis...
NA MWANGI MUIRURI WAPELELEZI katika Kaunti za Nairobi na Machakos wanaendeleza msako dhidi ya walioua musoshiolaiti Rachel Kanini...
NA MERCY KOSKEI MVULANA mwenye umri wa miaka kumi na tano ameaga dunia baada ya kugusa waya wa umeme katika kijiji cha Wi-Rakuom,...
NA MERCY KOSKEI HALI ya kawaida imeanza kurejelea katika makutano ya Londiani, barabara kuu ya Kericho-Kisumu siku mbili baada ya ajali...
NA MWANGI MUIRURI WANAHISA wa Kampuni ya Embakasi Ranching sasa wanataka hatimiliki 25,000 ambazo serikali ya Rais mstaafu Uhuru Kenyatta...
NA TITUS OMINDE MAHAKAMA ya Eldoret imewaruhusu polisi kuwazuilia washukiwa wawili wanaohusishwa na mtandao wa magenge ya wahalifu...
NA ALEX KALAMA SERIKALI ya kaunti ya Kilifi kupitia afisi ya gavana Gideon Mung’aro, imeunda kamati itakayochunguza malalamiko ya...
NA LAWRENCE ONGARO WAKULIMA wa karanga pori yaani macadamia na wafanyabiashara wa zao hilo wameiomba serikali kupiga marufuku...
NA RICHARD MUNGUTI MZEE mmoja ameshtakiwa kuilaghai benki moja jijini Nairobi Sh12 milioni. Patrick Jairo Atola aliyefikishwa mbele ya...
NA CHARLES WASONGA MKEWE aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati,...
NA TITUS OMINDE MWANAMUME ambaye amesema ni mchungaji wa kanisa la Israel amekiri kuiba mbuzi wanne mbele ya hakimu wa mahakama ya...
Na MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Maragua Bi Mary wa Maua amelia kwamba kifo cha meneja wake wa afisi ya ubunge, Bw Kennedy Kimani aliyeaga...