• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Waliohamia kambini kutoroka Al-Shabaab wamzomea kamishna

NA KALUME KAZUNGU WAKIMBIZI wanaoishi kwenye kambi ya Shule ya Msingi ya Juhudi, kaunti ya Lamu wamemzomea kamishna wa eneo hilo Bw Louis...

Msako wa walioua kinyama Kaniss na Omodollar na kuweka nyama zao kwenye gunia waendelezwa 

NA MWANGI MUIRURI WAPELELEZI katika Kaunti za Nairobi na Machakos wanaendeleza msako dhidi ya walioua musoshiolaiti Rachel Kanini...

Kijana wa miaka 15 afariki baada ya kugusa waya wa umeme

NA MERCY KOSKEI MVULANA mwenye umri wa miaka kumi na tano ameaga dunia baada ya kugusa waya wa umeme katika kijiji cha Wi-Rakuom,...

Wachuuzi Londiani warejea barabarani licha ya ajali iliyoangamiza 52

NA MERCY KOSKEI HALI ya kawaida imeanza kurejelea katika makutano ya Londiani, barabara kuu ya Kericho-Kisumu siku mbili baada ya ajali...

Wanahisa Embakasi Ranching waitaka serikali iharamishe hatimiliki 25, 000 zilizotolewa na Uhuru Kenyatta 

NA MWANGI MUIRURI WANAHISA wa Kampuni ya Embakasi Ranching sasa wanataka hatimiliki 25,000 ambazo serikali ya Rais mstaafu Uhuru Kenyatta...

Washukiwa wa wizi wa mabavu uliosababisha kifo cha bodaboda wazuiliwa

NA TITUS OMINDE MAHAKAMA ya Eldoret imewaruhusu polisi kuwazuilia washukiwa wawili wanaohusishwa na mtandao wa magenge ya wahalifu...

Kamati yaundwa kuangazia kilio cha wafanyakazi wa Malindi Water

NA ALEX KALAMA  SERIKALI ya kaunti ya Kilifi kupitia afisi ya gavana Gideon Mung’aro, imeunda kamati itakayochunguza malalamiko ya...

Wakulima wa macadamia walilia serikali iwaokoe

NA LAWRENCE ONGARO WAKULIMA wa karanga pori yaani macadamia na wafanyabiashara wa zao hilo wameiomba serikali kupiga marufuku...

Mzee ailaghai benki Sh12 milioni, auza Range Rover aliyotumia kama dhamana

NA RICHARD MUNGUTI MZEE mmoja ameshtakiwa kuilaghai benki moja jijini Nairobi Sh12 milioni. Patrick Jairo Atola aliyefikishwa mbele ya...

Wabunge wamwidhinisha mke wa Chebukati kuwa Mwenyekiti wa CRA

NA CHARLES WASONGA MKEWE aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati,...

Mhubiri akiri kuiba mbuzi

NA TITUS OMINDE MWANAMUME ambaye amesema ni mchungaji wa kanisa la Israel amekiri kuiba mbuzi wanne mbele ya hakimu wa mahakama ya...

Mary wa Maua asimulia ugumu kumpoteza mwandani spesheli kwa mauti

Na MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Maragua Bi Mary wa Maua amelia kwamba kifo cha meneja wake wa afisi ya ubunge, Bw Kennedy Kimani aliyeaga...