• Nairobi
  • Last Updated May 9th, 2024 6:40 PM

Wakulima Mlima Kenya wamtaka Gachagua awatimizie ahadi alizotoa ili wakabiliane na upinzani

Na MWANGI MUIRURI  MUUNGANO wa wakulima kutoka eneo la kati umemtaka Naibu wa Rais Rigathi Gachagua aharakishe mabadiliko kuongeza...

Vijana wa UDA Mlima Kenya watoa onyo kwa Maina Njenga 

NA MWANGI MUIRURI  MUUNGANO wa vijana wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) sasa unamtaka aliyekuwa kinara wa kundi haramu la...

Wanawake wa kaunti waingie uongozini -Achani

NA MKAMBURI MWAWASI GAVANA wa Kaunti ya Kwale, Bi Fatuma Achani, amewataka wanawake katika kaunti hiyo wajiandae kuwania viti vya...

Waasi ODM walilia Ruto awaokoe

Na GEORGE ODIWUOR WABUNGE ‘waasi’ wa ODM wamelalamika kuwa baadhi ya wanachama wa chama chao wanawalenga kwa kuunga mkono serikali...

Idadi ya waliofariki Murang’a baada ya lori kupoteza mwelekeo yafika 2

NA MWANGI MUIRURI IDADI ya watu waliothibitishwa kufariki kufuatia tukio ambapo lori la kubeba mizigo lilipoteza mwelekeo na kuingia...

Ashangaza kuambia korti bangi humpa motisha kulima shambani  

NA TITUS OMINDE MWANAMUME aliyepatikana na bangi Eldoret, alishangaza korti akijitetea kuwa ‘dawa’ hiyo haramu ya kulevya humpa...

Wanaume Makutano-Mwea walia kuporwa na makahaba wakiponda raha

NA MWANGI MUIRURI   VISA vya wanaume wanaosaka huduma za ngono kuporwa na kuachwa wakiwa hoi na makahaba Mji wa Makutano ulioko mpakani...

Vitisho vya viongozi na wandani vyaweka raia pabaya

NA MWANGI MUIRURI MAKABILIANO mitaani kati ya wafuasi wa viongozi kwenye serikali na wale wa Azimio yananukia Jumatano ijayo baada ya...

Makahaba wa mijini wakubali mavuno ya shambani, wahamasishana kuhusu maradhi ya zinaa

NA MWANGI MUIRURI MAKAHABA katika baadhi ya miji ya hapa nchini wamezindua mpango wa kupokea mavuno ya mimea kutoka kwa wateja wao...

NMG yapiga jeki Mbogolo ECD kwa msaada wa vitabu

NA ALEX KALAMA ZAIDI ya wanafunzi 70 kutoka shule ya chekechea ya Mbogolo ECD Center iliyoko wadi ya Ganda katika eneobunge la Malindi...

Tatuwasco yapokea tuzo kwa usambazaji mzuri wa maji

NA LAWRENCE ONGARO KAMPUNI ya kusambaza maji ya Tatuwasco imeteuliwa kama kampuni ya kibinafsi inayotoa huduma bora kwa wateja wake huu...

Maisha ya binadamu yana thamani kuliko maua, Sifuna amwambia Murkomen

NA WINNIE ONYANDO SENETA wa Nairobi Edwin Sifuna amelaani hatua ya Waziri wa Uchukuzi Kipchumba Murkomen ‘kuomboleza’ maua...