NA JARED NYATAYA ALIYEKUWA Gavana wa Uasin Gishu na Seneta wa sasa wa kaunti hiyo Jackson Mandago ametofautiana na Gavana Jonathan Bii...
NA SAMMY KIMATU WANAFUNZI zaidi ya 500 kutoka familia maskini katika wadi ya Landi Mawe, eneobunge la Starehe wamepigwa jeki kielimu...
NA NYABOGA KIAGE MTAA wa mabanda wa Mathare, Nairobi taswira Jumatano, Julai 12, 2023 ni ya mguu niponye kufuatia makabiliano makali...
NA RICHARD MUNGUTI MTALAAMU wa masuala ya kidijitali Dennis Itumbi amekata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kuharamisha nyadhifa za...
NA KALUME KAZUNGU WAKIMBIZI waliotoroka mashambulio ya Al-Shabaab vijijini na ambao wamepiga kambi kwenye Shule ya Msingi ya Juhudi,...
NA MWANGI MUIRURI MAPADRI wa kiume, kwenye muungano uliolegeza msimamo wa Kanisa wa kuwazima kuoa, wamesema wakati umefika wa kuangazia...
NA MWANGI MUIRURI MWANAMKE aliyekuwa amekesha katika lojing'i ya Murang'a akiwa na Padri wa Kanisa Katoliki Joseph Kariuki aliyeaga...
NA MWANGI MUIRURI KAHABA wawili wanaodaiwa kupora mwanamume Sh250, 000 wlaitiwa nguvuni wikendi eneo la Makutano, katika mpaka wa Kaunti...
NA MWANGI MUIRURI PADRI wa Kanisa la Katoliki alipatikana amefariki Jumamosi, Julai 8, 2023 kwenye lojing’i Murang’a, ambapo...
NA RICHARD MUNGUTI MKE na mume wametambuliwa mahakamani kama washukiwa wakuu katika kesi ya wizi wa kimabavu dhidi ya mkurugenzi wa...
NA LAWRENCE ONGARO SERIKALI imehimizwa kuongeza mgao wa fedha za ustawishaji wa maeneobunge (NG-CDF) kwa sababu idadi ya wanafunzi...
NA WAANDISHI WETU UASI dhidi ya serikali jana Ijumaa ulionekana kuenea huku maandamano yaliyoendelezwa na Upinzani yakishamiri na...