• Nairobi
  • Last Updated May 10th, 2024 5:50 AM

Mandago adai Gavana Bii alirithi Sh104 milioni za mpango wa elimu ng’ambo

NA JARED NYATAYA ALIYEKUWA Gavana wa Uasin Gishu na Seneta wa sasa wa kaunti hiyo Jackson Mandago ametofautiana na Gavana Jonathan Bii...

Wanafunzi 500 Landi Mawe wapokea basari, wahimizwa watie bidii masomoni

NA SAMMY KIMATU WANAFUNZI zaidi ya 500 kutoka familia maskini katika wadi ya Landi Mawe, eneobunge la Starehe wamepigwa jeki kielimu...

Maandamano ya Azimio: Mathare, ni mguu niponye waandamanaji wakikabiliana na polisi

NA NYABOGA KIAGE MTAA wa mabanda wa Mathare, Nairobi taswira Jumatano, Julai 12, 2023 ni ya mguu niponye kufuatia makabiliano makali...

Itumbi akata rufaa kupinga kuharamishwa kwa nyadhifa 50 za CASs

NA RICHARD MUNGUTI MTALAAMU wa masuala ya kidijitali Dennis Itumbi amekata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kuharamisha nyadhifa za...

Wakazi watilia shaka usalama wao kambini Juhudi Primary

NA KALUME KAZUNGU WAKIMBIZI waliotoroka mashambulio ya Al-Shabaab vijijini na ambao wamepiga kambi kwenye Shule ya Msingi ya Juhudi,...

Mjadala mkali wa mapadri kuendelea kuzimwa kuoa

NA MWANGI MUIRURI MAPADRI wa kiume, kwenye muungano uliolegeza msimamo wa Kanisa wa kuwazima kuoa, wamesema wakati umefika wa kuangazia...

‘Padri na mrembo wake walijienjoi kwa zaidi ya miaka 6’

NA MWANGI MUIRURI MWANAMKE aliyekuwa amekesha katika lojing'i ya Murang'a akiwa na Padri wa Kanisa Katoliki Joseph Kariuki aliyeaga...

Makahaba waliopora mwanamume Sh250, 000 Makutano ya Mwea wakamatwa

NA MWANGI MUIRURI KAHABA wawili wanaodaiwa kupora mwanamume Sh250, 000 wlaitiwa nguvuni wikendi eneo la Makutano, katika mpaka wa Kaunti...

Padri wa Kanisa la Katoliki apatikana ameaga dunia kwenye lojing’i Murang’a baada ya kukesha na kipusa wakijivinjari

NA MWANGI MUIRURI PADRI wa Kanisa la Katoliki alipatikana amefariki Jumamosi, Julai 8, 2023 kwenye lojing’i Murang’a, ambapo...

Mume na mke watambuliwa kortini kama wavamizi wa mkurugenzi wa benki

NA RICHARD MUNGUTI MKE na mume wametambuliwa mahakamani kama washukiwa wakuu katika kesi ya wizi wa kimabavu dhidi ya mkurugenzi wa...

Mbunge asema ilibidi atafute wafadhili kujaza kibaba cha basari

NA LAWRENCE ONGARO SERIKALI imehimizwa kuongeza mgao wa fedha za ustawishaji wa maeneobunge (NG-CDF) kwa sababu idadi ya wanafunzi...

Maandamano ya Azimio yalivyosambaa Saba Saba

NA WAANDISHI WETU UASI dhidi ya serikali jana Ijumaa ulionekana kuenea huku maandamano yaliyoendelezwa na Upinzani yakishamiri na...