NA MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Gatanga Bw Edward Muriu ameonya kampuni ya Amerika ya Del Monte inayomiliki zaidi ya ekari 30, 000 za...
NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu imesitisha ujenzi wa taasisi ya elimu inayodhaminiwa na Ubalozi wa Uturuki katika ardhi ya ukubwa wa...
NA WINNIE ONYANDO DIWANI (MCA) wa Lindi katika Kaunti ya Nairobi Samson Ochieng Jera amethibitisha kuwa wadi yake haina hospitali, shule...
NA MWANGI MUIRURI WENYEJI wa eneo la Mwea katika Kaunti ya Kirinyaga mnamo Jumanne wamepigwa na butwaa baada ya kukumbana na mwili wa...
NA MWANGI MUIRURI WAKUZAJI wa majanchai nchini wameambiwa wasubiri hadi Oktoba 2023 kupokea bonasi kinyume na vile wamekuwa wakiipata...
NA KALUME KAZUNGU WAKIMBIZI wanaoishi kwenye kambi ya Shule ya Msingi ya Juhudi, kaunti ya Lamu wamemzomea kamishna wa eneo hilo Bw Louis...
NA MWANGI MUIRURI WAPELELEZI katika Kaunti za Nairobi na Machakos wanaendeleza msako dhidi ya walioua musoshiolaiti Rachel Kanini...
NA MERCY KOSKEI MVULANA mwenye umri wa miaka kumi na tano ameaga dunia baada ya kugusa waya wa umeme katika kijiji cha Wi-Rakuom,...
NA MERCY KOSKEI HALI ya kawaida imeanza kurejelea katika makutano ya Londiani, barabara kuu ya Kericho-Kisumu siku mbili baada ya ajali...
NA MWANGI MUIRURI WANAHISA wa Kampuni ya Embakasi Ranching sasa wanataka hatimiliki 25,000 ambazo serikali ya Rais mstaafu Uhuru Kenyatta...
NA TITUS OMINDE MAHAKAMA ya Eldoret imewaruhusu polisi kuwazuilia washukiwa wawili wanaohusishwa na mtandao wa magenge ya wahalifu...
NA ALEX KALAMA SERIKALI ya kaunti ya Kilifi kupitia afisi ya gavana Gideon Mung’aro, imeunda kamati itakayochunguza malalamiko ya...