• Nairobi
  • Last Updated May 9th, 2024 6:40 PM

Wakulima wa macadamia walilia serikali iwaokoe

NA LAWRENCE ONGARO WAKULIMA wa karanga pori yaani macadamia na wafanyabiashara wa zao hilo wameiomba serikali kupiga marufuku...

Mzee ailaghai benki Sh12 milioni, auza Range Rover aliyotumia kama dhamana

NA RICHARD MUNGUTI MZEE mmoja ameshtakiwa kuilaghai benki moja jijini Nairobi Sh12 milioni. Patrick Jairo Atola aliyefikishwa mbele ya...

Wabunge wamwidhinisha mke wa Chebukati kuwa Mwenyekiti wa CRA

NA CHARLES WASONGA MKEWE aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati,...

Mhubiri akiri kuiba mbuzi

NA TITUS OMINDE MWANAMUME ambaye amesema ni mchungaji wa kanisa la Israel amekiri kuiba mbuzi wanne mbele ya hakimu wa mahakama ya...

Mary wa Maua asimulia ugumu kumpoteza mwandani spesheli kwa mauti

Na MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Maragua Bi Mary wa Maua amelia kwamba kifo cha meneja wake wa afisi ya ubunge, Bw Kennedy Kimani aliyeaga...

Patrick ‘Jungle’ Wainaina amchanua Ruto namna ya kuimarisha uchumi

NA LAWRENCE ONGARO SERIKALI ya Kenya Kwanza bado ina nafasi ya kuimarisha uchumi wa nchi iwapo itapanga mikakati ipasavyo. Aliyekuwa...

Moto wateketeza nyumba za familia 50 katika mtaa wa mabanda wa Mukuru

NA SAMMY KIMATU FAMILIA zaidi ya 50 zililazimika kuvumilia baridi kali baada ya nyumba 50 kuteketea katika kisa cha moto usiku wa...

Tanzia: Murang’a yapoteza mwanzilishi kampeni za sodo shuleni

Na MWANGI MUIRURI SIMANZI imegubika Kaunti ya Murang’a kufuatia kifo cha mwalimu aliyezindua kampeni ya kwanza ya usambazaji wa taulo za...

Mzozo wa UDA katika kaunti ya Rais

NA TITUS OMINDE HATIMA ya madiwani tisa kati ya 13 wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) walioteuliwa kutoka Bunge la Kaunti ya...

Wanawake wawili wafikishwa kortini kwa utapeli wa Sh15.6 milioni za watafutaji ajira

NA RICHARD MUNGUTI WANAWAKE wawili waliokamatwa na polisi kwa kuwatapeli wasaka kazi 28 zaidi ya Sh15.6 milioni wakidai wamewatafutia kazi...

Kamati maalum yaundwa kusuluhisha mzozo kuhusu matumizi ya mashine za kuchuma majanichai

NA CHARLES WASONGA VIONGOZI katika eneo la South Rift na wakuu wa Chama cha Wakulima wa Majanichai (KTGA) wamekubaliana kuunda kamati...

Shakahola: Idadi jumla ya watu waliothibitishwa kufariki ni 338

NA ALEX KALAMA IDADI ya miili iliyofanyiwa upasuaji katika awamu ya tatu ya upasuaji wa maiti za wahanga wa imani potovu zilizofukuliwa...