• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Gathoni Wamuchomba asifiwa kwa kupinga Mswada wa Fedha

NA CHARLES WASONGA WAKENYA katika mitandao ya kijamii wamemmiminia sifa Mbunge wa Githunguri Gathoni Wamuchomba kwa kupinga Mswada wa...

Polisi walaumiwa kwa kufumbia macho masaibu ya wasichana wa shule wanaonyemelewa kila uchao

NA MWANDISHI WETU MAAFISA wa polisi mjini Kilifi wanalaumiwa kwa kufumbia macho masaibu ya wasichana wa shule wanaonyemelewa na wabakaji...

Mahakama yaelezwa stakabadhi feki zilitumika kwa zabuni ya mahindi ya Sh18m Pokot Magharibi

NA TITUS OMINDE HATI zilizotumika katika utoaji wa zabuni ya usambazaji wa magunia 5,000 ya mahindi makavu ya Sh18m kwa Kaunti ya Pokot...

Maswali yaibuka kuhusu ‘ufufuzi’ wa Mungiki

NA WANDERI KAMAU MASWALI yameibuka kuhusu ni nani msema kweli kati ya serikali ya Kenya Kwanza na mrengo wa Azimio la Umoja, kuhusu...

Shule iliyofungwa miaka mitatu kwa sababu ya Covid-19 na mafuriko yafunguliwa

NA SAMMY KIMATU WANAFUNZI katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Kingstone na Tetra Pak, kaunti ndogo ya Makadara wana kila sababu ya...

Mwanamke akiri kuiba vifuniko vya majitaka auze ili kulisha wanawe

NA GEOFFREY ONDIEKI MWANAMKE mmoja katika Kaunti ya Samburu amekiri mahakamani kwamba, alilazimika kutekeleza wizi ili kuwalisha wanawe...

DJ Brownskin ataka afisa wa upelelezi akaangwe mahakamani kwa kukaidi agizo

NA RICHARD MUNGUTI MTUMBUIZAJI Michael Macharia Njiiri almaarufu DJ Brownskin anayeshtakiwa kumsaidia mkewe kujiua, mnamo Jumanne...

Idadi ya watu walioangamia Shakahola sasa yagonga 303

NA WACHIRA MWANGI IDADI ya watu waliothibitishwa kuaga dunia Shakahola baada ya kufuata mafundisho ya kidini ya kupotosha na ambao...

Gachagua ahofia maisha yake akidai makateli wa kahawa si watu wa kuchezea

NA WANDERI KAMAU NAIBU Rais Rigathi Gachagua ameeleza wasiwasi kuhusu maisha yake, anapoanza “vita” dhidi ya mitandao ya...

Tanzia: Mbunge Mary wa Maua apoteza meneja wake kupitia ajali Karatina  

Na MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Maragua Bi Mary wa Maua aliongoza wenyeji kuomboleza kifo cha Meneja wa afisi yake, Bw Kennedy...

Wawili wakamatwa wakisafirisha bangi yenye thamani ya Sh900, 000

NA MERCY KOSKEI WASHUKIWA wawili waliokuwa wakisafirisha misokoto 50 ya bangi inayokadiriwa kuwa na thamani ya sh900, 000 walikamatwa...

Mwanamume adaiwa kulawiti vijana wanne mjini Kilifi

NA MAUREEN ONGALA POLISI Kilifi wanachunguza kisa ambapo mwanamume mmoja anadaiwa kuwalawiti wavulana wadogo. Rekodi zinaonyesha...