NA CHARLES WASONGA WAKENYA katika mitandao ya kijamii wamemmiminia sifa Mbunge wa Githunguri Gathoni Wamuchomba kwa kupinga Mswada wa...
NA MWANDISHI WETU MAAFISA wa polisi mjini Kilifi wanalaumiwa kwa kufumbia macho masaibu ya wasichana wa shule wanaonyemelewa na wabakaji...
NA TITUS OMINDE HATI zilizotumika katika utoaji wa zabuni ya usambazaji wa magunia 5,000 ya mahindi makavu ya Sh18m kwa Kaunti ya Pokot...
NA WANDERI KAMAU MASWALI yameibuka kuhusu ni nani msema kweli kati ya serikali ya Kenya Kwanza na mrengo wa Azimio la Umoja, kuhusu...
NA SAMMY KIMATU WANAFUNZI katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Kingstone na Tetra Pak, kaunti ndogo ya Makadara wana kila sababu ya...
NA GEOFFREY ONDIEKI MWANAMKE mmoja katika Kaunti ya Samburu amekiri mahakamani kwamba, alilazimika kutekeleza wizi ili kuwalisha wanawe...
NA RICHARD MUNGUTI MTUMBUIZAJI Michael Macharia Njiiri almaarufu DJ Brownskin anayeshtakiwa kumsaidia mkewe kujiua, mnamo Jumanne...
NA WACHIRA MWANGI IDADI ya watu waliothibitishwa kuaga dunia Shakahola baada ya kufuata mafundisho ya kidini ya kupotosha na ambao...
NA WANDERI KAMAU NAIBU Rais Rigathi Gachagua ameeleza wasiwasi kuhusu maisha yake, anapoanza “vita” dhidi ya mitandao ya...
Na MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Maragua Bi Mary wa Maua aliongoza wenyeji kuomboleza kifo cha Meneja wa afisi yake, Bw Kennedy...
NA MERCY KOSKEI WASHUKIWA wawili waliokuwa wakisafirisha misokoto 50 ya bangi inayokadiriwa kuwa na thamani ya sh900, 000 walikamatwa...
NA MAUREEN ONGALA POLISI Kilifi wanachunguza kisa ambapo mwanamume mmoja anadaiwa kuwalawiti wavulana wadogo. Rekodi zinaonyesha...