NA BRIAN OCHARO MWANAFAMASIA ameshtakiwa kwa madai ya kuuzia dawa msichana mwenye umri wa miaka 15 ili kuavya mimba. Bw Amos Nzioki...
ALEX KALAMA FARHIYA HUSSEIN WAZIRI wa Usalama wa Ndani Profesa Kithure Kindiki mnamo Jumanne amesema msitu wa Shakahola hautatumika tena...
NA LAWRENCE ONGARO WANAFUNZI wapatao 2,000 kutoka eneo la Thika Mashariki mnamo Jumatatu walinufaika na basari za Sh10 milioni kutoka...
NA MERCY KOSKEI RAIS William Ruto Jumapili, Juni 4, 2023 amehudhuria sherehe za kumkaribisha nyumbani Waziri wa Mazingira Bi Soipan...
NA MAUREEN ONGALA MBUNGE wa Ganze Kenneth Kazungu amelitaka Shirika la Huduma kwa Wanyamapori (KWS) kurudisha huduma zake mashinani ili...
Na BRIAN OCHARO MAHAKAMA ya Shanzu imeelezwa Ijumaa kuwa mhubiri Paul Mackenzie aliongoza hafla ya mazishi ya mamia ya wafuasi wake ambao...
Na LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya (MKU) kiliandaa kongamano lililoleta pamoja washiriki kutoka kwa vyuo vya mataifa...
NA CHARLES WASONGA MKUU wa Majeshi ya Ulinzi ya Kenya (CDF) aliyeteuliwa juzi Francis Ogolla mnamo Alhamisi Juni 1, 2023 alitekeleza...
NA CHARLES WASONGA KUFIKIA mwishoni mwa mwezi huu wa Juni, Wakenya wataanza kusomea shahada za digrii kupitia mtandaoni kufuatia...
NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto mnamo Alhamisi alizindua huduma nyingine ya mpango wa utoaji mikopo kutoka kwa Hazina ya Hasla...
NA OSBORN MANYENGO KAMISHNA wa Kaunti ya Trans-Nzoia Gideon Oyagi ameonya watengenezaji wa pombe haramu eneo hilo huku akiwataka...
Na RICHARD MUNGUTI MZEE wa miaka 60 atakula maharagwe kwa miaka mitatu gerezani baada ya kupatikana na hatia ya ulaghai wa shamba mjini...