• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 7:50 PM

Ashtakiwa kwa madai ya kusaidia mtoto kuavya mimba

NA BRIAN OCHARO MWANAFAMASIA ameshtakiwa kwa madai ya kuuzia dawa msichana mwenye umri wa miaka 15 ili kuavya mimba. Bw Amos Nzioki...

Msitu wa Shakahola kuwa eneo la makumbusho ya tukio la mauaji ya halaiki

ALEX KALAMA FARHIYA HUSSEIN WAZIRI wa Usalama wa Ndani Profesa Kithure Kindiki mnamo Jumanne amesema msitu wa Shakahola hautatumika tena...

Wanafunzi Thika wanufaika na basari za Sh10 milioni

NA LAWRENCE ONGARO WANAFUNZI wapatao 2,000 kutoka eneo la Thika Mashariki mnamo Jumatatu walinufaika na basari za Sh10 milioni kutoka...

Rais Ruto azuru Narok kushiriki sherehe kufurahia Waziri Soipan kujiunga na serikali yake

NA MERCY KOSKEI RAIS William Ruto Jumapili, Juni 4, 2023 amehudhuria sherehe za kumkaribisha nyumbani Waziri wa Mazingira Bi Soipan...

Kero ya Ndovu: Wakazi wa Ganze wasumbuka kupata fomu za kujaza walipwe fidia

NA MAUREEN ONGALA MBUNGE wa Ganze Kenneth Kazungu amelitaka Shirika la Huduma kwa Wanyamapori (KWS) kurudisha huduma zake mashinani ili...

Mahakama yaambiwa Mackenzie aliongoza ibada za kuwazika waumini waliofunga wakaangamia

Na BRIAN OCHARO MAHAKAMA ya Shanzu imeelezwa Ijumaa kuwa mhubiri Paul Mackenzie aliongoza hafla ya mazishi ya mamia ya wafuasi wake ambao...

MKU yakariri kujitolea kuendelea kushiriki makongamano ya uimarishaji wa elimu

Na LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya (MKU) kiliandaa kongamano lililoleta pamoja washiriki kutoka kwa vyuo vya mataifa...

Jenerali Ogolla achapa kibarua cha kwanza katika Sherehe ya Kitaifa tangu aapishwe kuwa CDF

NA CHARLES WASONGA MKUU wa Majeshi ya Ulinzi ya Kenya (CDF) aliyeteuliwa juzi Francis Ogolla mnamo Alhamisi Juni 1, 2023 alitekeleza...

Chuo Kikuu cha Mtandaoni kuzinduliwa rasmi mwezi huu, aahidi Rais Ruto

NA CHARLES WASONGA KUFIKIA mwishoni mwa mwezi huu wa Juni, Wakenya wataanza kusomea shahada za digrii kupitia mtandaoni kufuatia...

Makundi sasa kupata mkopo wa Hasla

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto mnamo Alhamisi alizindua huduma nyingine ya mpango wa utoaji mikopo kutoka kwa Hazina ya Hasla...

Madaraka Dei: Kamishna wa Trans-Nzoia awaonya watengenezaji pombe haramu

NA OSBORN MANYENGO KAMISHNA wa Kaunti ya Trans-Nzoia Gideon Oyagi ameonya watengenezaji wa pombe haramu eneo hilo huku akiwataka...

Mzee arushwa jela kwa ulaghai wa shamba

Na RICHARD MUNGUTI MZEE wa miaka 60 atakula maharagwe kwa miaka mitatu gerezani baada ya kupatikana na hatia ya ulaghai wa shamba mjini...