• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 6:55 PM

Utata wa kesi ya mvulana wa miaka 13 akinajisi msichana wa miaka 4  

  NA TITUS OMINDE MVULANA wa miaka 13 anayekabiliwa na mashtaka ya unajisi kinyume na sheria ya makosa ya ngono ya 2006 atajua...

Maadhimisho ya Madaraka Dei Juni 1, 2023, katika Uwanja wa Moi, Embu

[caption id="attachment_125801" align="alignnone" width="500"] Maadhimisho ya Madaraka Dei Juni 1, 2023, katika Uwanja wa Moi,...

Washukiwa wa uvamizi wa shamba la familia ya Kenyatta kufikishwa mahakamani

NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Usalama wa Ndani Profesa Kithure Kindiki mnamo Jumatano, Mei 31, 2023 ametangaza kuwa washukiwa kadha...

Mukumu: Machogu aahidi fidia ya Sh400,000 kwa kila familia iliyopoteza mtoto

NA COLLINS OMULO WAZIRI wa Elimu Ezekiel Machogu amesema familia za wanafunzi wa Shule ya Wasichana ya Sacred Heart Mukumu walioaga...

Atishia kuua mpangaji kwa kunyimwa ‘tunda la ndoa’

Na RICHARD MUNGUTI MWANAUME aliyenyimwa tendo la ndoa na mpangaji katika jengo la wazazi wake ameshtakiwa kwa kutisha kumuua mwanadada...

Ashtakiwa kwa kulaghai mke wa rafikiye Sh2 milioni

Na RICHARD MUNGUTI MUUZAJI mashamba na ardhi ameshtakiwa kwa kumlaghai mke wa rafikiye anayeishi Amerika Sh2 milioni. Esrom Kamande...

Mahabusu aliyegeuza seli kuwa uwanja wa ndondi aona moto

Na RICHARD MUNGUTI MAHABUSU ameshtakiwa kwa kumchapa mwenzake waking’ang’ania katoni waliyokuwa wanatumia kama godoro wakiwa seli za...

Mwanamke mashakani kwa kuficha ‘dume’ mbakaji

Na RICHARD MUNGUTI MWANAMKE aliyeficha habari kwamba msichana wa miaka 15 aliyetoroka kwa mama yake alikuwa akiishi na mwanaume...

Washtakiwa kwa wizi wa samaki

Na RICHARD MUNGUTI VIBARUA watatu wameshtakiwa kwa wizi wa samaki wa thamani ya Sh30, 000. Jesse Mwangi, Paul Kimathi na Samuel...

Mwanamume auawa na umati akidaiwa kuiba mihogo  

Na ALEX KALAMA MWANAMUME alifariki Jumatatu katika kijiji cha Patanani kilichoko Shimba Hills, Kaunti ya Kwale baada ya kupigwa na umati...

Dai mganga alishauri washukiwa wafunike Sh700, 000 za wizi chunguni ili ziongezeke

NA BRIAN OCHARO MAAFISA wa polisi wamedai kuwa, washukiwa wawili waliohusishwa na wizi wa Sh700, 000 za mwajiri wao walizipeleka kwa...

Hamasisho lapunguza idadi ya wanaofariki wakijifungua Magarini

NA ALEX KALAMA IDADI ya wanawake wanaofariki wakati wa kujifungua katika eneo la Magarini imepungua kutokana na hamasisho linalotolewa...