• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM

Hamasisho lapunguza idadi ya wanaofariki wakijifungua Magarini

NA ALEX KALAMA IDADI ya wanawake wanaofariki wakati wa kujifungua katika eneo la Magarini imepungua kutokana na hamasisho linalotolewa...

Delmonte yawapiga jeki wasichana wa Mwana Wikio kwa kuwapa sodo

Na LAWRENCE ONGARO WANAFUNZI wa kike wa Shule ya Upili ya Mseto ya Mwana Wikio katika Kaunti ya Murang'a wamepokea sodo za kuwafaa...

Wanawake wavamia nyumba na kunyakua mume wa wenyewe

NA STEPHEN ODUOR MWANAMKE mjini Garsen, Kaunti ya Tana River, alipigwa na butwaa baada ya wanawake wawili ambao amekuwa akiwakashifu kwa...

Raha tele Vihiga wakinyanyua ubingwa wa Ligi Kuu

NA TOTO AREGE Vihiga Queens iliishinda Gaspo Women 2-1 na kutangazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake ya Kenya (KWPL) msimu wa 2022/23...

Waziri Machogu kuzindua rasmi kituo cha maji safi shuleni Mukumu

NA DERICK LUVEGA WAZIRI wa Elimu Ezekiel Machogu amewasili katika Shule ya Upili ya Wasichana ya Sacred Heart Mukumu ambayo kwa zaidi ya...

Sheikh alalamikia kuitwa mchawi kufuatia mzozo wa mali ya Msikiti

Na TITUS OMINDE SHEIKH mmoja kutoka Eldoret amelalamikia kuhusishwa na uchawi ili azuiwe kuhudhuria ibada ya msikiti. Sheikh Diriwo...

Nilikodishwa tu kusafirisha sukari, mshukiwa ajitetea

NA BRIAN OCHARO MFANYIBIASHARA Chrispus Waithaka anayeshukiwa katika utoroshaji wa magunia 20,000 ya sukari mbaya amesema jukumu lake...

Wakazi wa Keiyo wakataa naibu chifu asiye mwenyeji

NA EVANS JAOLA WAKAZI wa Keiyo eneobunge la Kwanza katika Kaunti ya Trans Nzoia wameandamana Ijumaa wakipinga kuteuliwa kwa naibu chifu...

Wafuasi wa Maina Njenga wazushia DCI

NA STEVE OTIENO RABSHA zilizuka katika makao makuu ya Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) baada ya kiongozi wa zamani wa Mungiki Maina...

Serikali yakana madai kuwa wadukuzi wa Kichina waliingilia mitandao yake

NA CHARLES WASONGA SERIKALI ya Kenya imekana habari zilizosambazwa na shirika la habari la Reuters kwamba wadukuzi wa mitandao kutoka...

Kafyu katika eneo pana la Chakama yaongezwa kwa siku 30 zaidi

ALEX KALAMA Na FARHIYA HUSSEIN WAZIRI wa Usalama wa Ndani Prof Kithure Kindiki amesema baadhi ya wafuasi wa mhubiri tata Paul Mackenzie...

‘Ker’ mpya wa jamii ya Waluo kujulikana baada ya Juni 10

NA ANGELINE OCHIENG MWENYEKITI mpya wa Baraza la Wazee wa jamii ya Waluo 'Ker' atajulikama baada ya Juni 10, 2023, kiongozi wa Azimio La...