• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 7:55 AM

Rais Ruto aongoza mkutano wa kundi la Wabunge na Maseneta wa Kenya Kwanza katika Ikulu ya Nairobi

NA CHARLES WASONGA  RAIS William Ruto leo Jumanne, Mei 23, 2023, ameongoza mkutano wa Kundi la Wabunge wa Kenya Kwanza katika Ikulu ya...

Masaibu ya mhubiri Ezekiel yasikitisha wakazi Ngodhe

WYCLIFFE NYABERI Na RICHARD MUNGUTI WAKAZI wa Kisiwa cha Ngodhe katika Ziwa Victoria wangali wamepigwa na butwaa kuhusiana na masaibu...

Wito akina mama wafanye biashara ili kujikimu

Na WINNIE ATIENO MBUNGE wa Nyali Bw Mohammed Ali na Mwakilishi wa Wanawake Kaunti ya Mombasa, Bi Zamzam Mohammed wamewasihi wanawake...

Migogoro ya kisiasa kati ya magavana na manaibu wao yaenea

NA WAANDISHI WETU IMEIBUKA kuwa teuzi muhimu na upendeleo wa kiukoo ni miongoni mwa masuala yanayosababisha vuta nikuvute kati ya...

Madhehebu: Kamati teule kupendekeza Bunge libuni sheria madhubuti

NA ALEX KALAMA  KAMATI teule ya Seneti iliyobuniwa kufanya uchunguzi kuhusu matukio ya maafa ya Shakahola katika Kaunti ya Kilifi,...

Chiloba awatahadharisha Wakenya wasipokee simu kiholela

NA NDUBI MOTURI MAMLAKA ya Mawasiliano nchini imeonya Wakenya kuhusu wimbi jipya la ulaghai kupitia simu za mkononi uliobandikwa jina...

Rai Serikali ihifadhi vyumba vya mateso Nyayo kama kumbukumbu ya kihistoria

NA KENYA NEWS AGENCY MAKUNDI ya mashirika ya kijamii na wahanga waliopitia mateso katika vyumba vya Jumba la Nyayo, Alhamisi...

Magavana walia serikali yaua ugatuzi

NA STEVE OTIENO MAGAVANA sasa wanalia kuwa Serikali ya Kitaifa imeanza kuyachukua majukumu yaliyogatuliwa, kwa kuzinyima kaunti ufadhili...

Rais atelekeza ahadi baada ya kutua ikulu

NA COLLINS OMULLO RAIS William Ruto anaonekana kutelekeza baadhi ya ahadi alizotoa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita huku...

Maajenti 60 wa Old Mutual watuzwa kwa kazi nzuri

NA LAWRENCE ONGARO KAMPUNI ya bima ya Old Mutual imejitolea kuwahamasisha maajenti kuendelea kuwa wakakamavu kazini. Mkurugenzi wa...

Kampuni ya Thiwasco yapanda miti 1,500 Kang’oki kuvutia nyuni wa angani

NA LAWRENCE ONGARO KAMPUNI ya  maji ya THIWASCO imefanya juhudi na kupanda miti 1,500 katika eneo la Kang'oki Sewage mjini...

Rais Ruto akariri kuendelea kupambana na ufisadi

Na CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amekariri kuwa atapambana na ufisadi nchini bila kumhurumia mtu yeyote, hata wakiwa...