• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 7:50 PM

Nilitamani Raila ashinde urais mwaka 2013 – Issack Hassan

NA CHARLES WASONGA ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Ahmed Issack Hassan hatimaye amefichua kuwa alitamani...

Madoli ya ngono kuharibiwa na KRA

NA CHARLES WASONGA MADOLI yanayotumika na wanaume kujiridhisha kimapenzi (sex toys) na uume bandia (artificial male organs) ni miongoni...

Mahasla kunywa chai bila sukari

NA WAANDISHI WETU WAKENYA maskini watalazimika kunywa chai bila sukari kutokana na kupanda kwa bei ya sukari nchini. Kufikia...

‘Nabii’ kortini kwa madai ya kubaka binti 2 wa mshirika wake

NA JOSEPH OPENDA MWANAMUME mmoja anayejitambulisha kama nabii, anatarajia kujua hatma yake mwezi ujao, baada ya Mahakama ya Nakuru...

Shakahola: Awamu ya pili ya upasuaji maiti kuanza Mei 24

NA ALEX KALAMA  MSHIRIKISHI wa Pwani Rhoda Onyancha amesema awamu ya pili ya upasuaji wa maiti za wahanga waliofariki dunia baada ya...

Idadi ya waliothibitishwa kufariki Shakahola yagonga 235

NA ALEX KALAMA  MAAFISA wanaoendeleza operesheni ya kufukua makaburi ili kutoa miili ya watu waliozikwa katika hali tatanishi kwenye...

Mlanguzi sugu wa dawa za kulevya aliyelemea askari

NA TITUS OMINDE MFANYIBIASHARA mmoja mjini Eldoret anayekabiliwa na kesi ya ulanguzi wa dawa za kulevya, amekamatwa tena kwa kupatikana...

Waiguru alaumiwa kwa kuachilia kampuni ya maji ya Kirinyaga kupata hasara

NA CHARLES WASONGA MASENETA mnamo Jumatano, Mei 17, 2023 walimlaumu Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru kwa kutofuatilia kwa makini...

Mwanafunzi aliyemuua mwenzake kwa kisu akamatwa Lamu

NA KALUME KAZUNGU MAAFISA wa polisi wamemtia mbaroni mwanafunzi wa Kidato cha Tatu katika Shule ya Upili ya Faza iliyoko Lamu ambaye...

Msichana aliyetukana wazazi wake matusi mazito na kuwafungia nje usiku ashtakiwa

Na RICHARD MUNGUTI BINTI aliyemtukana baba yake matusi nyeusi kabla ya kuwafungia nje ya makazi yao jijini Nairobi amefikishwa...

Aliyejifanya askari na kutapeli dereva kizimbani

Na RICHARD MUNGUTI TAPELI aliyejifanya polisi na kupora dereva wa teksi simu na Sh1, 300 kabla ya kuchana mbuga amefikishwa...

Polisi Juja wakatazwa kuuza pombe

NA LAWRENCE ONGARO ILI kudhibiti uuzaji wa pombe za mvinyo, naibu kamishna wa kaunti ndogo ya Juja Bw Charles Mureithi amepiga marufuku...