• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Mshukiwa wa ujambazi ashtakiwa kwa kudai fidia ya Sh1.9 milioni

Na RICHARD MUNGUTI MWANAUME aliyedai fidia ya Sh1.9 milioni kwa njia ya vitisho ameshtakiwa. Benson Gathua ameshtakiwa kushirikiana...

Mzee ashtakiwa kwa ulaghai wa shamba la mabilioni Nairobi

Na RICHARD MUNGUTI MZEE wa Kimasai ameshtakiwa kwa ulaghai wa shamba la Sh1.5 bilioni katika mtaa wa kifahari wa Karen,...

Sakaja na Kihika wamulikwa kwa ‘kudharau’ Seneti

NA MARY WANGARI SENETI imewaamuru magavana wawili kufika mbele yake kwa kile inachotaja kama kukosa heshima na kudharau kamati za Seneti...

Rigathi atetea ukabila katika uteuzi serikalini

NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais Rigathi Gachagua mnamo Jumamosi aliendelea kutetea mtindo wa kupendelea makabila fulani katika teuzi za...

Kibo Africa yazindua pikipiki ya injini ya 160cc

NA LAWRENCE ONGARO KAMPUNI ya Kibo Africa imezindua pikipiki mpya ya injini ya ufyonzaji mafuta wa 160cc ambayo imesifiwa kwa kusaidia...

Idadi ya walioaga dunia Shakahola yagonga 150

NA ALEX KALAMA  KATIKA siku ya tatu ya awamu ya pili ya ufukuaji wa makaburi ili kutoa miili ya watu waliozikwa katika hali tatanishi...

Maajabu mashemeji wakicharaza baba ya mume

NA TITUS OMINDE MFANYABIASHARA mwenye umri wa miaka 60 mjini Eldoret amemshtaki mkwe wake pamoja na kaka zake wawili na baba yao kwa...

Kufikia jana Jumatano idadi ya walioangamia Shakahola ilikuwa 145

NA ALEX KALAMA  KATIKA siku ya pili ya awamu ya pili ya ufukuaji wa makaburi ili kutoa miili ya watu waliozikwa katika hali tatanishi...

Ashtakiwa kwa wizi na ubakaji, kifungo cha miaka 210 jela kikimuandama

Na TITUS OMINDE MWANAMUME anayehusishwa na mtandao wa genge la majambazi ambao wamekuwa wakiwaibia na kuwabaka wanawake kwa msururu...

Ashtakiwa kwa kutishia kumnyofoa mjomba sehemu za siri

NA TITUS OMINDE MVULANA mwenye umri wa miaka 17 alishtakiwa Jumatano, Mei 10, 2023 kwa kutishia kumkata sehemu za siri mjombake....

Askofu alalamikia kulazimishwa kubeba kinyesi akiwa seli kwa kesi ya ulanguzi wa watoto

Na RICHARD MUNGUTI MUHUBIRI wa kimataifa Askofu Gilbert Juma Deya anayeshtakiwa kuiba na ulanguzi wa watoto watano jana alijitetea...

Mke wa Naibu Rais alia serikali kutaka kudhibiti makanisa

NA WINNIE ONYANDO MKE wa Naibu Rais Rigathi Gachagua, Dorcas Rigathi, sasa anasisitiza kuwa serikali haina uwezo wala mamlaka ya...