• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM

Zaidi ya maafisa 3 wauawa na kilipuzi

NA MANASE OTSIALO MAAFISA wa polisi wasiopungua watatu kutoka Kitengo cha Doria Mpakani (BPU) waliuawa jana wakati gari walilokuwa...

Makanga aambia mahakama ana kisonono aonewe huruma

NA JOSEPH NDUNDA MAKANGA wa matatu ambaye alikiri kuiba chombo cha kuhifadhi chai almaarufu thermos katika hoteli moja mtaani Kayole,...

Toto motoni kwa madai ameajiri jamaa 6 wa familia yake

NA JOSEPH WANGUI WAKAZI wawili wa Bomet wamemshtaki Mwakilishi wa Kike, Linet Chepkorir, almaarufu Toto, kwa kuajiri watu sita wa familia...

Barobaro amsaka Karen Nyamu awe mpenziwe Valentine’s Day! 

NA SAMMY WAWERU SENETA maalum, Karen Nyamu ni binti anayetakikana kwa dharura ulimwengu unapoadhimisha sikukuu ya Wapendanao, maarufu...

Washukiwa 8 washtakiwa kwa wizi wa mikopo ya Fuliza

NA RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA wanane wameshtakiwa kwa kuiba zaidi ya Sh449 milioni kutoka kwa benki ya NCBA inayohusishwa na familia ya...

Kidosho azua gumzo Facebook kwa kumtambalia mtangazaji Hassan Mwana wa Ali

NA SAMMY WAWERU MTANGAZAJI maarufu wa redio, Hassan Mwana wa Ali amejipata kwenye njia panda baada mwanadada mitandaoni kumtania akidai...

Jinsi Jalang’o alivyofurushwa kwenye mkutano wa Azimio

NA CHARLES WASONGA MBUNGE wa Lang’ata Phelix Odiwuor almaarufu Jalang’o jana Alhamisi alitimuliwa alipojaribu kuhudhuria mkutano wa...

Utamaduni tata wa ‘Tero Buru’ katika mazishi ya Magoha marufuku

RUSHDIE OUDIA Na AGARTHA GICHANA UTAMADUNI wa ‘Tero Buru’ hautazingatiwa kesho wakati wa mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Elimu, George...

Letoo akemewa na wanawake kwa kuandaa Men’s Conference siku ya Valentino

NA SAMMY WAWERU KONGAMANO la wanaume mwaka huu litafanyika Siku ya Valentino, sikukuu ya wapendanao inayoadhimishwa Februari kila...

Pwani: Kuna haja wazazi, serikali kulinda watoto dhidi ya uhalifu mtandaoni

NA ALEX KALAMA  WATOTO wengi eneo la Pwani wameathirika zaidi na utumizi mbaya wa mtandao huku kaunti za Mombasa, Kilifi na Lamu zikiwa...

Waliojenga madarasa ya CBC wasaka malipo miezi saba baadaye…

NA DAVID MUCHUI WANAKANDARASI waliojenga madarasa 10,000 ya kufanikisha Mtaala Mpya wa Masomo (CBC) sasa wanakabiliwa na tishio la mali...

Ardhi jirani na ya Ruto yanyakuliwa Taita

NA WAANDISHI WETU MZOZO umeibuka katika eneo la Jipe, Kaunti ya Taita Taveta baada ya mwekezaji wa kibinafsi kudaiwa kunyakua takriban...