• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 12:09 PM

CDF: Wabunge sasa watishia kususia kazi

NA WINNIE ATIENO SERIKALI ya Kenya Kwanza huenda ikakabiliwa na changamoto ya kuendesha shughuli zake, iwapo wabunge watatekeleza tishio...

Kiwanda kipya cha macadamia kuleta mabadiliko

NA LAWRENCE ONGARO KUNA matumaini mema kwa wakulima wa zao la macadamia ambao walipata changamoto ya kuuza kwa masoko ya ng'ambo. Kwa...

Wavulana wengi wakosa kufanya KCSE baada ya kusajiliwa

NA CHARLES WASONGA WAVULANA wengi walikosa kufanya Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) ikilinganishwa na wasichana, kwa mujibu wa...

Kocha akana kuchafua watoto na ponografia

BRIAN OCHARO na MAUREEN ONGALA KOCHA wa kandanda ameshtakiwa kwa kuwachafua watoto wawili na kuunda filamu ya ponografia ya vitendo...

Kampuni yazindua simu inayolenga wasanii

NA WINNIE ONYANDO KAMPUNI ya simu ya Tecno imezindua simu mpya inayolenga wasanii wa kutengeneza video za mtandaoni. Simu hiyo Phantom X2...

Familia kuzika jeneza bila maiti kutimiza desturi

NA DERICK LUVEGA FAMILIA moja katika Kaunti ya Vihiga, imekasirishwa na uamuzi wa mwili wa jamaa yao aliyefariki akiwa ng’ambo...

Familia 1,000 zapitia hali ngumu zaidi baada ya moto kuteketeza makazi katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Maasai

NA SAMMY KIMATU FAMILIA zaidi ya 1,000 zilikesha nje penye baridi baada ya zaidi ya nyumba 300 kuteketea huku mali inayokadiriwa ni ya...

Hisia mseto polisi sasa wakinyoa wenye rasta

NA MWANGI MUIRURI SHERIA mpya ambayo haijarekodiwa na inayotekelezwa na maafisa wa polisi katika baadhi ya maeneo ya Murang’a Kusini...

Uhaba wa nafasi kulazimu wanafunzi elfu 24 Pwani kusomea bara

NA LEONARD ONYANGO ZAIDI ya wanafunzi 24,000 waliofanya Mtihani wa Darasa la Nane (KCPE) mwaka jana katika kaunti za Pwani watalazimika...

Kijana Joseph Kimungu aamini mwanafunzi anahitaji kutia bidii ili kufaulu masomoni

NA PATRICK KILAVUKA ANASEMA muhula wa tatu kabla kufanya mtihani, alipokea ushauri uliompa msukumo wa kukanbiliana na mtihani kwani...

Ruto akana kumwekea mtego Gachagua

NA VITALIS KIMUTAI RAIS William Ruto jana Jumapili alikanusha madai kuwa anamtega naibu wake Rigathi Gachagua. Alisema hatua ya kumpa...

Polisi wazidisha uchunguzi kuhusu mauaji ya Chiloba

NA BARNABAS BII MAKACHERO kutoka Idara ya Uchunguzi wa Uhalifu (DCI) wamewakamata washukiwa wengine zaidi wanaohusishwa na mauaji ya...