NA LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya (MKU) kimefanya ushirikiano na chuo kimoja cha nchini Ujerumani kwa lengo la kuwapiga jeki...
NA RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA wa ulaghai ameshtakiwa kwa kuwafuja wauza magari zaidi ya Sh3 milioni akidai angewaagizia magari kutoka...
BRIAN OJAMAA Na CHARLES WASONGA POLISI katika Kaunti ya Bungoma wameanzisha uchunguzi kuhusu kisa ambapo aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo...
NA CHARLES WASONGA ALIYEKUWA mgombea urais Jimi Wanjigi ametoa wito kwa Rais William Ruto kuhakikisha kuwa wanasiasa walioshindwa katika...
NA KNA JAJI wa Mahakama ya Machakos, Bi Teresia Matheka (pichani), amejitolea kuhakikisha watoto wasio na wawakilishi wa kuzungumza kwa...
NA LUCY MKANYIKA MWIMBAJI mashuhuri Freshley Mwamburi, amejikuta lawamani kwa madai ya kumtelekeza mamake, Bi Sophy Mkakina. Katika...
NA CHARLES WASONGA SHIRIKA moja la kutetea haki za kibinadamu limedai kuwa watu 109 walipoteza maisha katika visa vya dhuluma na mauaji...
NA LAWRENCE ONGARO SERIKALI imepongezwa kwa kuchukua hatua kali ya kufunga baadhi ya maskani ya burudani jijini Nairobi na vitongoji...
NA FARHIYA HUSSEIN MAAFISA wa polisi katika Kaunti ya Mombasa siku ya Alhamisi, walimweka kizuizini mwanamume mmoja anayeshukiwa...
NA RICHARD MUNGUTI MHARIRI wa Shirika la Utangazaji Nchini (KBC) amepata afueni ya kutosukumwa jela baada ya Mahakama Kuu kutoa maagizo...
NA RICHARD MUNGUTI WANAUME wawili waliomnyang’anya dereva wa teksi gari lake na simu baada ya kumfunga kwa kamba kisha wakamtupa ndani...
NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amewasilisha majina ya watu 22 aliowapendekeza kuwa mawaziri. Miongoni mwao ni kiongozi wa Amani...