• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 5:50 PM

Wanafunzi wa nyanja za sekta ya afya kunufaika kupitia ushirikiano wa MKU na Hochschule Koblenz ya Ujerumani

NA LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya (MKU) kimefanya ushirikiano na chuo kimoja cha nchini Ujerumani kwa lengo la kuwapiga jeki...

Mshukiwa wa ulaghai akana kuwapunja wauzaji magari Sh3 milioni

NA RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA wa ulaghai ameshtakiwa kwa kuwafuja wauza magari zaidi ya Sh3 milioni akidai angewaagizia magari kutoka...

Polisi wachunguza kisa cha kudhulumiwa kwa mwanafunzi wa Sang’alo

BRIAN OJAMAA Na CHARLES WASONGA POLISI katika Kaunti ya Bungoma wameanzisha uchunguzi kuhusu kisa ambapo aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo...

Wanjigi asema waliopoteza uchaguzini wasiteuliwe makatibu wa wizara

NA CHARLES WASONGA ALIYEKUWA mgombea urais Jimi Wanjigi ametoa wito kwa Rais William Ruto kuhakikisha kuwa wanasiasa walioshindwa katika...

Jaji ahakikisha watoto wamepata mawakili kortini

NA KNA JAJI wa Mahakama ya Machakos, Bi Teresia Matheka (pichani), amejitolea kuhakikisha watoto wasio na wawakilishi wa kuzungumza kwa...

Nyota wa ‘Stella Wangu’ adaiwa kutelekeza mama

NA LUCY MKANYIKA MWIMBAJI mashuhuri Freshley Mwamburi, amejikuta lawamani kwa madai ya kumtelekeza mamake, Bi Sophy Mkakina. Katika...

IMLU yatoa takwimu kuhusu mauaji ya kiholela nchini

NA CHARLES WASONGA SHIRIKA moja la kutetea haki za kibinadamu limedai kuwa watu 109 walipoteza maisha katika visa vya dhuluma na mauaji...

Askofu apongeza serikali kwa kufunga baa za kero tele katika eneo la Kahawa Wendani

NA LAWRENCE ONGARO SERIKALI imepongezwa kwa kuchukua hatua kali ya kufunga baadhi ya maskani ya burudani jijini Nairobi na vitongoji...

Polisi wanasa mwanamume akiuza risasi

NA FARHIYA HUSSEIN MAAFISA wa polisi katika Kaunti ya Mombasa siku ya Alhamisi, walimweka kizuizini mwanamume mmoja anayeshukiwa...

Mhariri wa KBC apata afueni kesi ya kusukumwa jela

NA RICHARD MUNGUTI MHARIRI wa Shirika la Utangazaji Nchini (KBC) amepata afueni ya kutosukumwa jela baada ya Mahakama Kuu kutoa maagizo...

Wawili ndani miaka 30 kwa kuiba teksi kimabavu

NA RICHARD MUNGUTI WANAUME wawili waliomnyang’anya dereva wa teksi gari lake na simu baada ya kumfunga kwa kamba kisha wakamtupa ndani...

Ruto awasilisha bungeni majina ya watu 22 aliopendekeza wawe mawaziri

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amewasilisha majina ya watu 22 aliowapendekeza kuwa mawaziri. Miongoni mwao ni kiongozi wa Amani...