• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 6:50 AM

Masikitiko Luo Nyanza Ruto akiapishwa

NA WAANDISHI WETU HUKU mbwembwe, vifijo na nderemo zikishuhudiwa katika Uwanja wa Kasarani jana Jumanne katika sherehe za kuapishwa...

Wapenzi washtakiwa kwa kumtesa mtoto

NA RICHARD MUNGUTI WAPENZI wameshtakiwa kwa kumtesa mtoto na kumjeruhi. Irene Nduku pamoja na Samuel Agesa walishtakiwa mbele ya hakimu...

Nassir awataka wanaotaka uwaziri kutuma maombi ya kazi

NA FARHIYA HUSSEIN GAVANA mteule wa Mombasa Bw Abdulswamad Nassir ametangaza kuwa chini ya uongozi wake nyadhifa zote za kazi za...

Waomba usaidizi kurejesha mwili wa binti yao

NA STEPHEN MUNYIRI FAMILIA moja katika eneobunge la Kieni, Kaunti ya Nyeri, iko kwenye njiapanda kuhusu namna itaurejesha mwili wa...

Ruto asikie kilio cha Wakenya – Elachi

NA SAMMY WAWERU HUKU taifa likisubiri kuapishwa kwa Rais mteule William Ruto, viongozi na wanasiasa wameendelea kutoa ushauri wao jinsi...

Asukumwa jela miaka 4 kwa kuiba pombe kali

NA RICHARD MUNGUTI MTAFUTA kazi aliyefumaniwa na polisi akiiba pombe kali amesukumwa gerezani miaka minne. Jackson Mwanzia...

Wauzaji bidhaa sokoni Muthurwa wataka Sakaja asikie kilio chao

NA SAMMY KIMATU ZAIDI ya wafanyabiashara 1,000 katika Soko la Muthurwa wamemtaka Gavana wa Nairobi, Bw Johnson Sakaja kushughulikia...

Bodaboda 30 wanunuliwa pikipiki na chama

NA SAMMY KIMATU ZAIDI ya wahudumu 30 wa bodaboda katika tarafa ya South B, Nairobi walipigwa jeki na Chama Cha Mashirika na Mikopo...

IEBC: Mpigakura aomba Mahakama Kuu itimue Chebukati, Marjan

NA RICHARD MUNGUTI MPIGAKURA amewasilisha kesi katika Mahakama Kuu akiomba mwenyekiti wa Tume Huru ya uchaguzi na mipaka (IEBC) Wafula...

Makamishna 4 waasi waunga Chebukati

NA BENSON MATHEKA MAKAMISHA wanne wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), waliokataa kuunga matokeo ya kura ya urais, wamesalimu amri...

Shirika la We Don’t Have Time laendelea na shughuli za upanzi wa miti nchini

NA LAWRENCE ONGARO SHIRIKA linalotetea uhifadhi wa mazingira la 'We Don't Have Time' limepiga hatua kufufua shughuli za upanzi wa miti...

Wafugaji waanza kuuzia serikali kuu mifugo katika maeneo kame

NA KNA SERIKALI kupitia kwa Tume ya Nyama nchini (KMC) imeanza awamu ya pili ya kununua mifugo kutoka maeneo kame katika Kaunti ya Tana...