NA WANDERI KAMAU MABAWABU sasa watakuwa wakilipwa Sh30,000 kwenda juu kutoka Sh7,000 kufuatia agizo mpya lililotolewa Mkurugenzi Mkuu wa...
NA JOSEPH OPENDA BETIKA imepoteza rufaa iliyowasilisha mahakamani kupinga kumlipa mcheza kamari David Juma Sh500,000 baada ya ubashiri...
NA SAMMY KIMATU MAMA mmoja mjane ambaye amekuwa akihangaika kwa miezi minane katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Fuata Nyayo kwa kufungiwa...
NA JOSEPH OPENDA MAHAKAMA ya Nakuru imetoa kibali cha kukamatwa kwa mjukuu wa aliyekuwa Rais wa pili wa Kenya, Mzee Daniel Toroitich arap...
NA ELIZABETH NGIGI MWIGIZAJI wa TikTok Brian Chira alizikwa Jumanne katika kjiji cha Gitei, Gathanje, Kaunti ya Kiambu katika mazishi...
NA SHABAN MAKOKHA MAAFISA wa polisi katika eneo la Navakholo, Kaunti ya Kakamega, wamemkamata mwanamume mwenye umri wa miaka 32 anayedaiwa...
NA BRIAN AMBANI KIWANGO cha sukari inayoagiziwa nchini kimepungua kufuatia kuimarika kwa uzalishaji nchini, huku viwanda vikirejelea...
NA BRIAN OCHARO MAHAKAMA imetupilia mbali kesi ambapo mfanyabiashara Ann Njeri Njoroge alidai umiliki wa tani 100, 000 za dizeli yenye...
NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Naibu Mkuu wa Mkoa wa Nairobi, Davis Nathan Chelogoi amepelekwa kupokea matibabu Nairobi Hospital kutoka...
NA SIAGO CECE KWA muda mrefu, Wakenya wengi wamekuwa wakitumia kuni, makaa na gesi kupikia huku, wachache wakitumia vifaa vya...
NA BRIAN OCHARO ASKOFU Mkuu wa Dayosisi ya Mombasa Kanisa la Katoliki Martin Kivuva ameitaka serikali kufanya mazungumzo na madaktari...
NA MWANDISHI WETU BAADHI ya watu wanalia kwamba ndoa zao zimekosa raha kwa kuwa wake au waume wao wamezembea chumbani. Wanalalamika...