• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 9:50 AM

Wamakonde waomba serikali ya Ruto iangazie masuala yao muhimu

NA SIAGO CECE JAMII ya Wamakonde katika kaunti ya Kwale imemtaka rais mteule William Ruto kuwajumuisha katika serikali yake. Wamakonde...

Korti yasitisha ufukuaji mwili wa mfanyabiashara

NA BRIAN OCHARO MAHAKAMA ya Mombasa, sasa imeagiza ufukuaji wa mwili wa mfanyabiashara Abbas Anverali Nazerali, usitishwe hadi lalama za...

Wapigakura Mlima Kenya walivyotimua madiwani wengi

NA WAANDISHI WETU WAPIGAKURA wa eneo la Mlima Kenya waliwaangusha madiwani wengi katika kaunti kadhaa na kuwachagua wapya kahudumu katika...

Mashirika ya kijamii yasema uchaguzi wa Agosti 9 ulisheheni dosari tele Pwani

NA JURGEN NAMBEKA MASHIRIKA ya kijamii katika eneo la Pwani yamedai kuwa, Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9 ulisheheni dosari tele kutokana na...

Kura moja tu yamwingiza bunge la kaunti

NA CECE SEAGO WADI ya Kinango katika kaunti ya Kwale imegonga vichwa vya habari baada ya kura moja kumpa ushindi Bw Richard Itambo kama...

Hesabu yakanganya makamishna walioasi matokeo ya urais

NA BENSON MATHEKA MAKAMISHNA wanne ambao wamejitenga na matokeo yaliyotumika kumtangaza Naibu Rais William Ruto kuwa mshindi wa urais...

Raila apinga matokeo ya IEBC

NA SAMMY WAWERU   MGOMBEA wa urais kwa tiketi ya Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga amepinga matokeo yaliyotangazwa...

Mshindi wa kiti cha ubunge Malindi atuliza hofu baada ya ajali iliyohusisha jamaa zake

NA MAUREEN ONGALA ALIYEIBUKA mshindi wa kiti cha ubunge eneobunge la Malindi, Bi Amina Mnyazi, amesema jamaa na wasaidizi wake waliopata...

Ndiritu Muriithi aisuta IEBC kwa kuwafungia nje ya Bomas

NA ELISHAPHAN WACHIRA MWENYEKITI wa kampeni za mrengo wa Azimio-One Kenya Alliance Ndiritu Muriithi, amemsuta mwenyekiti wa IEBC kwa...

Barasa kortini kudai fidia baada ya IEBC kuahirisha uchaguzi

SHABAN MAKOKHA Na OKONG’O ODUYA MWANIAJI ugavana katika Kaunti ya Kakamega kwa tiketi ya ODM, Bw Fernandes Barasa, ameelekea mahakamani...

Afisa wa IEBC aliyepoteza matokeo ndani

NA LEONARD ONYANGO AFISA wa IEBC alifikishwa kortini baada ya kukosa kujaza fomu ya matokeo katika kituo cha kupigia kura cha Kianda,...

Bedzimba avunja ‘mkosi’ akipewa fursa tena Kisauni

BRIAN OCHARO Na VALENTINE OBARA MSHINDI wa ubunge Kisauni, Kaunti ya Mombasa, Bw Rashid Bedzimba, amevunja historia ya wabunge kuhudumu...