NA SIAGO CECE JAMII ya Wamakonde katika kaunti ya Kwale imemtaka rais mteule William Ruto kuwajumuisha katika serikali yake. Wamakonde...
NA BRIAN OCHARO MAHAKAMA ya Mombasa, sasa imeagiza ufukuaji wa mwili wa mfanyabiashara Abbas Anverali Nazerali, usitishwe hadi lalama za...
NA WAANDISHI WETU WAPIGAKURA wa eneo la Mlima Kenya waliwaangusha madiwani wengi katika kaunti kadhaa na kuwachagua wapya kahudumu katika...
NA JURGEN NAMBEKA MASHIRIKA ya kijamii katika eneo la Pwani yamedai kuwa, Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9 ulisheheni dosari tele kutokana na...
NA CECE SEAGO WADI ya Kinango katika kaunti ya Kwale imegonga vichwa vya habari baada ya kura moja kumpa ushindi Bw Richard Itambo kama...
NA BENSON MATHEKA MAKAMISHNA wanne ambao wamejitenga na matokeo yaliyotumika kumtangaza Naibu Rais William Ruto kuwa mshindi wa urais...
NA SAMMY WAWERU MGOMBEA wa urais kwa tiketi ya Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga amepinga matokeo yaliyotangazwa...
NA MAUREEN ONGALA ALIYEIBUKA mshindi wa kiti cha ubunge eneobunge la Malindi, Bi Amina Mnyazi, amesema jamaa na wasaidizi wake waliopata...
NA ELISHAPHAN WACHIRA MWENYEKITI wa kampeni za mrengo wa Azimio-One Kenya Alliance Ndiritu Muriithi, amemsuta mwenyekiti wa IEBC kwa...
SHABAN MAKOKHA Na OKONG’O ODUYA MWANIAJI ugavana katika Kaunti ya Kakamega kwa tiketi ya ODM, Bw Fernandes Barasa, ameelekea mahakamani...
NA LEONARD ONYANGO AFISA wa IEBC alifikishwa kortini baada ya kukosa kujaza fomu ya matokeo katika kituo cha kupigia kura cha Kianda,...
BRIAN OCHARO Na VALENTINE OBARA MSHINDI wa ubunge Kisauni, Kaunti ya Mombasa, Bw Rashid Bedzimba, amevunja historia ya wabunge kuhudumu...