NA ELISHAPHAN WACHIRA MWENYEKITI wa kampeni za mrengo wa Azimio-One Kenya Alliance Ndiritu Muriithi, amemsuta mwenyekiti wa IEBC kwa...
SHABAN MAKOKHA Na OKONG’O ODUYA MWANIAJI ugavana katika Kaunti ya Kakamega kwa tiketi ya ODM, Bw Fernandes Barasa, ameelekea mahakamani...
NA LEONARD ONYANGO AFISA wa IEBC alifikishwa kortini baada ya kukosa kujaza fomu ya matokeo katika kituo cha kupigia kura cha Kianda,...
BRIAN OCHARO Na VALENTINE OBARA MSHINDI wa ubunge Kisauni, Kaunti ya Mombasa, Bw Rashid Bedzimba, amevunja historia ya wabunge kuhudumu...
NA KNA MWANAMKE alikamatwa Kilifi siku ya Uchaguzi Mkuu kwa tuhuma za kuwahonga wapigakura katika kituo cha shule ya msingi ya...
NA SIAGO CECE BIBI mkongwe Kasirimi Mwangome, 102, amekuwa miongoni mwa wapigakura waliojitokeza kutekeleza haki yao ya...
NA SAMMY KIMATU MBUNGE wa Mavoko, Bw Patrick Makau amesikitika kwamba Mahakama ya Juu ilitoa uamuzi wa kuzima Hazina ya Maendeleo ya...
Na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa rekodi ya dunia mbio za kilomita 42 wanaume, Eliud Kipchoge amefungua maktaba katika eneo la...
NA LEONARD ONYANGO WAGOMBEAJI wa ubunge ambao wamekuwa wakitoa ahadi za kutekeleza miradi katika maeneo yao wamepata pigo baada ya...
NA FRED KIBOR BONDE la Kerio linaloandamwa na ukosefu wa usalama litaangaziwa kwa makini katika Uchaguzi Mkuu hii leo Jumanne,...
NA TITUS OMINDE VIONGOZI wa kidini Rift Valley wanatumai kuwepo uchaguzi wa amani katika eneo hilo licha ya Tume ya Kitaifa ya Uwiano na...
NA IRENE MUGO MWANIAJI kiti cha Naibu Rais kwa chama cha United Democratic Alliance (UDA) Rigathi Gachagua aliwaaga kwaheri wenyeji wa...