• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 5:55 PM

Ndiritu Muriithi aisuta IEBC kwa kuwafungia nje ya Bomas

NA ELISHAPHAN WACHIRA MWENYEKITI wa kampeni za mrengo wa Azimio-One Kenya Alliance Ndiritu Muriithi, amemsuta mwenyekiti wa IEBC kwa...

Barasa kortini kudai fidia baada ya IEBC kuahirisha uchaguzi

SHABAN MAKOKHA Na OKONG’O ODUYA MWANIAJI ugavana katika Kaunti ya Kakamega kwa tiketi ya ODM, Bw Fernandes Barasa, ameelekea mahakamani...

Afisa wa IEBC aliyepoteza matokeo ndani

NA LEONARD ONYANGO AFISA wa IEBC alifikishwa kortini baada ya kukosa kujaza fomu ya matokeo katika kituo cha kupigia kura cha Kianda,...

Bedzimba avunja ‘mkosi’ akipewa fursa tena Kisauni

BRIAN OCHARO Na VALENTINE OBARA MSHINDI wa ubunge Kisauni, Kaunti ya Mombasa, Bw Rashid Bedzimba, amevunja historia ya wabunge kuhudumu...

Mwanamke anyakwa akiwa na manoti kituoni

NA KNA MWANAMKE alikamatwa Kilifi siku ya Uchaguzi Mkuu kwa tuhuma za kuwahonga wapigakura katika kituo cha shule ya msingi ya...

Wakongwe kwa vijana wajitokeza kupiga kura Kwale

NA SIAGO CECE BIBI mkongwe Kasirimi Mwangome, 102, amekuwa miongoni mwa wapigakura waliojitokeza kutekeleza haki yao ya...

Mbunge wa Mavoko asikitika mahakama kuzima CDF

NA SAMMY KIMATU MBUNGE wa Mavoko, Bw Patrick Makau amesikitika kwamba Mahakama ya Juu ilitoa uamuzi wa kuzima Hazina ya Maendeleo ya...

Kipchoge afungua maktaba kwa umma Kapsisiywa

Na GEOFFREY ANENE   MSHIKILIZI wa rekodi ya dunia mbio za kilomita 42 wanaume, Eliud Kipchoge amefungua maktaba katika eneo la...

Mahakama ya Juu yatesa wabunge kwa kuzima CDF

NA LEONARD ONYANGO WAGOMBEAJI wa ubunge ambao wamekuwa wakitoa ahadi za kutekeleza miradi katika maeneo yao wamepata pigo baada ya...

Usalama kuimarishwa Kerio Valley

NA FRED KIBOR BONDE la Kerio linaloandamwa na ukosefu wa usalama litaangaziwa kwa makini katika Uchaguzi Mkuu hii leo Jumanne,...

Viongozi waelezea matumaini ya uchaguzi wa amani

NA TITUS OMINDE VIONGOZI wa kidini Rift Valley wanatumai kuwepo uchaguzi wa amani katika eneo hilo licha ya Tume ya Kitaifa ya Uwiano na...

Gachagua aahidi wakazi ushindi mkuu

NA IRENE MUGO MWANIAJI kiti cha Naibu Rais kwa chama cha United Democratic Alliance (UDA) Rigathi Gachagua aliwaaga kwaheri wenyeji wa...