• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 6:50 AM

Kura: Machifu hawapigii debe Azimio – Kibicho

NA WANDERI KAMAU KATIBU wa Wizara ya Usalama, Dkt Karanja Kibicho, amekanusha vikali madai ya muungano wa Kenya Kwanza kwamba serikali...

Kura: Baadhi ya kampuni Industrial Area zaruhusu wafanyakazi waende likizo

NA SAMMY KIMATU BAADHI ya wafanyakazi katika Eneo la Viwandani kaunti ya Nairobi watakuwa na likizo ndefu baada ya wamiliki wa kampuni...

Meneja wa New KPCU ataja mikakati yake ya kukabili wizi wa kahawa

NA SAMMY WAWERU WIZI wa kahawa kwenye mashamba na viwandani baada ya mavuno na kukusanya, unaendelea kushuhudiwa. Hususan katika...

Wakuu wa kaunti washtakiwa kwa wizi wa Sh17.9 milioni

NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA afisa mkuu idara ya fedha katika Kaunti ya Nairobi Jimmy Kiamba aliyefungwa miaka 12 pamoja na maafisa...

Mashirika, viongozi wa kidini wataka IEBC kuzingatia uadilifu uchaguzini

NA TITUS OMINDE WANAHARAKATI wa kutetea haki za binadamu na viongozi wa kidini, wameionya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) dhidi...

Naomba unikome, Ruto afokea Uhuru mkutanoni

NA MARY WANGARI NAIBU Rais William Ruto jana Ijumaa alimkaripia vikali Rais Uhuru Kenyatta akisema, hana shukurani kwa kumwandama...

Msimamizi wa stoo aliyeuma meneja kidole na kumjeruhi apandishwa kizimbani

NA RICHARD MUNGUTI MSIMAMIZI wa Stoo katika hoteli moja jijini Nairobi ameshtakiwa kwa kumvamia na kumjeruhi vibaya meneja wake...

Madiwani wa zamani wataka marupurupu yao

NA FLORAH KOECH ZAIDI ya madiwani 200 wa zamani katika Kaunti ya Baringo wanalalamikia kucheleweshwa kwa malipo yao ya uzeeni na pesa...

TAHARIRI: Serikali iepuke kuwasaliti raia kila inapowahamisha

NA MHARIRI IMEIBUKA kuwa maelfu ya watu waliotolewa kwa nguvu na serikali katika Msitu wa Mau, Kaunti ya Narok, sasa wanaishi katika...

Nitawania ugavana 2027 na wala si ubunge tena Likoni, Mishi Mboko atangaza

NA WINNIE ATIENO MBUNGE wa Likoni, Bi Mishi Mboko, ametangaza uchaguzi wa Agosti 9, utakuwa mara yake ya mwisho kuwania ubunge. Bi...

Aduma ashtakiwa kwa ufisadi wa Sh10 milioni

NA RICHARD MUNGUTI MBUNGE wa Nyakach Joshua Aduma Owuor ameshtakiwa kwa ulaghai wa Sh10 milioni miaka 11 iliyopita. Aduma alishtakiwa...

Sababu za Raila kukunja mkia

DAVID MUCHUI NA CHARLES WASONGA MGOMBEAJI urais wa muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga jana alitetea hatua yake ya kususia mjadala...