NA RICHARD MUNGUTI MBUNGE wa Nyakach Joshua Aduma Owuor ameshtakiwa kwa ulaghai wa Sh10 milioni miaka 11 iliyopita. Aduma alishtakiwa...
DAVID MUCHUI NA CHARLES WASONGA MGOMBEAJI urais wa muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga jana alitetea hatua yake ya kususia mjadala...
NA WAANDISHI WETU MNAMO 2020, Mary Mwandisha, 28, alikuwa miongoni mwa wanafunzi wa udaktari waliofanikiwa kufuzu kutoka Chuo Kikuu cha...
NA RICHARD MUNGUTI DEREVA ameshtakiwa kuiba sukari ya thamani ya Sh3 milioni. Sammy Kiplagat Yego alikana kwamba aliiba sukari ya...
NA JACOB WALTER MAAFISA wa usalama wanamsaka mmiliki wa lori lililokamatwa likibeba magunia 64 ya bangi ya thamani ya Sh45 milioni...
FLORAH KOECH Na CHARLES WASONGA SERIKALI imeshikilia kuwa kafyu iliyowekwa katika kaunti tatu zilizokumbwa na mapigano kaskazini mwa...
NA RICHARD MUNGUTI NDEGE ya kwanza kupeleka miraa Mogadishu iliondoka Jumapili asubuhi wiki moja baada ya Rais Uhuru Kenyatta na mwenzake...
NA WYCLIFFE NYABERI WAZIRI wa Usalama wa Ndani Dkt Fred Matiang'i na katibu wa wizara hiyo Dkt Karanja Kibicho wamesema kelele za...
NA MARY WANGARI CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM) kinachoongozwa na mpeperushaji bendera wa Muungano wa Azimio La Umoja-One...
NA CHARLES WASONGA SIKU moja baada ya Rais Uhuru Kenyatta kutangaza kuwa serikali imetoa ruzuku kuchochea bei ya unga kupungua hadi...
NA RICHARD MUNGUTI MWANAMUME aliyembaka msichana mwenye umri wa miaka miwili katika Kanisa moja eneo la Zimmerman, Nairobi amehukumiwa...
NA WINNIE ATIENO WAZIRI wa usalama, Dkt Fred Matiang’i, ameonya kuna wanasiasa katika kaunti mbili za Pwani wanaopanga kutumia magenge...