• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 10:50 AM

Askofu awaita walevi kanisani wapate mafundisho ya kidini

NA LAWRENCE ONGARO WALEVI kutoka kijiji cha Ngoingwa wamekaribishwa kanisani ili wamjue Mwenyezi Mungu. Askofu Julius Kamau, wa...

Mchangiaji mada katika kituo cha Fox News adai wajawazito hawapigi kura nchini Kenya

NA WANGU KANURI MCHANGIAJI mada kwenye runinga ya Fox News nchini Marekani ametoa kauli yenye utata akidai kuwa wanawake wajawazito...

Bangi yapatikana ikinawiri kwenye nyumba ya kifahari Eldoret

NA TITUS OMINDE POLISI mjini Eldoret wanamsaka mshukiwa wa dawa za kulevya kwa kukuza bangi ya thamani ya zaidi ya shilingi milioni moja...

Ashtakiwa kunajisi mtoto wa umri wa miaka 13

NA BRIAN OCHARO MSHUKIWA mmoja ameshtakiwa kwa kumnajisi msichana wa umri wa miaka 13. Haron Mathenge jana Jumanne alifikishwa mbele...

Samboja aendelea kuandamwa na kesi kuhusu cheti

NA LUCY MKANYIKA KESI inayopinga azma ya Gavana wa Taita Taveta, Granton Samboja kutetea kiti chake sasa itasikilizwa katika Mahakama ya...

Mtetezi aomba KWS ipewe ufadhili zaidi

NA KENYA NEWS AGENCY MTETEZI mashuhuri wa mazingira nchini, Jim Justus Nyamu ametoa wito kwa serikali kufadhili Shirika la Wanyamapori...

Kibarua ashtakiwa kwa kuvunja vioo vya madirisha ya kituo cha polisi

NA RICHARD MUNGUTI KIBARUA ameshtakiwa kuvunja vioo vya madirisha 17 katika kituo kidogo cha polisi cha Ngara kwa kuvipiga mawe baada ya...

Serikali yaibuka na mikakati ya kushusha gharama ya chakula cha mifugo

NA SAMMY WAWERU JUMA lililopita, Waziri wa Kilimo Peter Munya alitangaza kusitisha kwa muda ada na ushuru unaotozwa mahindi na malighafi...

Ashtakiwa kwa madai ya kuwalaghai akina mama Sh9m

Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA mmoja ameshtakiwa kwa madai ya kuwapunja wanawake wawili zaidi ya Sh9 milioni akidai angewauzia dawa...

Wezi wavamia kanisa na kuiba mali yenye thamani ya Sh250,000

NA GEORGE MUNENE WEZI wenye silaha walivamia kanisa la Katoliki la Christ The King Mukinduri Kaunti ya Kirinyaga na kuiba mali yenye...

Wakenya kuendelea kununua unga wa mahindi kwa bei ghali

NA BARNABAS BII WATEJA wataendelea kugharimika zaidi ili kununua unga kutokana na uhaba wa mahindi katika masoko ya humu nchini na ya...

Wabunge wahimiza wazazi walinde watoto wao

NA MWANDISHI WETU MBUNGE wa Lunga Lunga Khatib Mwashetani (pichani) na mwenzake wa Jomvu Bw Badi Twalib wamewasihi wazazi kuwalinda...