NA LAWRENCE ONGARO DARAJA la kivukio juu ya barabara kuu ya Thika Superhighway eneo la Highpoint, Gachororo, litajengwa ili kuzuia ajali...
NA CHARLES WASONGA WAHITIMU kutoka vyuo vikuu ambao walifaidi kwa mkopo kutoka Bodi ya Kutoa Mkopo kwa Elimu ya Juu (HELB) wamepata...
NA RICHARD MUNGUTI MWANIAJI kiti cha urais ambaye kesi ya kupuinga kuidhinishwa kushiriki katika uchaguzi wa Agosti 9,2022 aliomba apewe...
NA GEORGE MUNENE POLISI katika Kaunti ya Kirinyaga wamemkamata mhudumu wa bodaboda anayedaiwa kumuua rafiki yake na kuutupa mwili wake...
NA ERIC MATARA NAIBU Rais William Ruto jana aliwazuia wanahabari kuangazia mkutano wa kisiasa wa mrengo wa Kenya Kwanza alioongoza...
NA SAMMY WAWERU SHIRIKA moja lisilo la kiserikali (NGO), limezindua mipango kuhamasisha vijana kujua na kufanya shughuli za kilimo na...
NA CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Jumatatu, Juni 20, 2022, aliongoza mkutano wa marais sita wa mataifa wanachama wa Jumuiya ya...
NA CHARLES WASONGA MBUNGE wa Embakasi Mashariki Babu Owino amejitenga na madai kuwa alichochea vurugu zilizoshuhudiwa katika uwanja wa...
NA MERCY MWENDE CHAMA cha Roots kimepuuzilia mbali ripoti kwamba mgombea wake wa urais George Wajackoyah anatarajiwa kuzuru mji wa Nyeri...
NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Waziri wa Fedha, Chris Obure, na makatibu wawili wa zamani Sammy Kyungu na Samwel Chamobo Bundotich...
NA BRIAN OCHARO JAJI wa Mahakama ya Mombasa amekosoa kuzuiliwa kwa muda mrefu washukiwa akisema ni udhalimu wa haki. Jaji John Mativo...
NA JOSEPH WANGUI MAHAKAMA Kuu imebatilisha uamuzi wa mahakama ya chini ulioamuru kufutiliwa mbali kwa dhamana ya Sh300,000 pesa taslimu...