• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Nestlé yaongoza mpango wa kukusanya taka za plastiki katika shule za umma

NA SAMMY WAWERU KAMPUNI ya Nestlé imezindua mpango wa kukusanya taka za plastiki katika shule za msingi za umma, ili kusaidia kudumisha...

Wiki ya Sonko kujua hatima yake ya kuwania

NA BRIAN OCHARO ALIYEKUWA gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, anatarajiwa kujua hatima yake ya kisiasa wiki hii. Aliwasilisha kesi...

Kang’ata kujua hatma yake ya ugavana leo Jumatatu

NA RICHARD MUNGUTI MWANIAJI wa Ugavana Murang’a kwa tikiti ya chama cha United Democratic Alliance (UDA) Dkt Irungu Kang’ata atajua...

Mwigizaji ashtakiwa kwa kushindwa kulipa bili ya Sh152,550

NA RICHARD MUNGUTI MWIGIZAJI katika Nairobi Diaries kidosho Diana Clara Ojenge amekana kupokea deni la Sh152,550 katika hoteli moja ya...

Wakazi wa Gatundu wapokea miche ya macadamia

NA LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Gatundu Kusini wapatao 5,000 walipokea miche ya macadamia ili kuboresha kilimo cha zao hilo. Mbunge wa...

3 kizimbani kwa madai ya wizi wa pembe za ndovu

NA ALEX KALAMA WANAUME watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Malindi kwa mashtaka ya kuhusika na wizi wa pembe za ndovu. Samson...

Mkuu wa shule ya msingi kizimbani kwa kupora Sh2 milioni

NA JAMES MURIMI MWALIMU mkuu katika Kaunti ya Laikipia, Ijumaa aliachiliwa na Hakimu Mkazi wa Nanyuki kwa dhamana ya Sh1 milioni pesa...

Yaya aliyeonjesha mvulana mdogo asali kukaa jela miaka 8

NA RICHARD MUNGUTI YAYA mwenye umri wa miaka 34 aliyepatikana na hatia ya kumwingiza mvulana wa mwajiri wake mwenye umri wa miaka 13...

Kijana ashtakiwa kwa kumtusi baba na kuiba simu ya mama yake

NA RICHARD MUNGUTI KIJANA wa kiume ameshtakiwa kwa kumtukana baba yake na kuiba simu ya mama yake. Michael Njenga alikanusha mashtaka...

Mirema: Dennis Gachoki aachiliwa huru baada ya kukosekana ushahidi

NA RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA katika kisa cha mauaji ya mtu aliyeshukiwa na polisi kuwa mhalifu hatari Samuel Mugota, eneo la Mirema...

Mtafaruku Sonko akipigwa breki kuwasilisha stakabadhi kwa IEBC

ANTHONY KITIMO NA BRIAN OCHARO KULIKUWA na kizaazaa jana Jumanne katika afisi za Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Kaunti ya...

Wadau wa sekta ya utalii wataka Uhuru kuinusuru kabla astaafu Agosti

NA FARHIYA HUSSEIN WADAU katika sekta ya utalii wamemrai Rais Uhuru Kenyatta kushughulikia changamoto zinazowakumba kabla aondoke...