• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Kithi apuuza madai ya kujiondoa na kumuunga Jumwa ugavana

NA ALEX KALAMA MWANIAJI ugavana Kilifi kwa tikiti ya Chama cha Pamoja African Alliance (PAA), Bw George Kithi, amepuuzilia mbali madai...

Mvurya awahimiza wapigakura Kwale wachague viongozi watakaoinua elimu

NA KNA GAVANA wa Kwale, Bw Salim Mvurya, amehimiza wananchi kutilia maanani viongozi wenye uwezo wa kufadhili sekta ya elimu, katika...

Viongozi waisifu IEBC kwa kukaza kamba

NA LAWRENCE ONGARO VIONGOZI kadha kutoka kaunti ya Kiambu wamepongeza juhudi za Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kukataa...

Nassir ndani naye Sonko akikazana

WINNIE ATIENO NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, amesisitiza atawasilisha hati zake kwa Tume Huru ya...

Sonko kuwasilisha hati kwa IEBC kuidhinishwa kuwania ugavana

NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Mike Sonko na mwaniaji Useneta Kiambu kwa tikiti ya UDA Karungo Thangw’a wanaweza...

Awamu ya tatu ya Kazi Mtaani yazinduliwa nchini

NA WINNIE ONYANDO AWAMU ya tatu ya mpango wa Kazi Mtaani unaolenga kutoa ajira kwa vijana zaidi ya 900 wanaotoka katika mitaa ya mabanda...

Mombasa: Wiper ina hadi Juni 9

NA CHARLES WASONGA CHAMA cha Wiper sasa kitalazimika kuteua mgombea mwingine wa ugavana wa Mombasa kabla ya Juni 9, 2022 baada ya Tume...

Kingi afichua siri ya kuungana na Ruto kwa uchaguzi

NA WINNIE ATIENO GAVANA wa Kilifi, Bw Amason Kingi, amesema mkataba wake na Naibu Rais, Dkt William Ruto, ulihitaji kuwa endapo Kenya...

Sampuli za wanaohofiwa kuugua ‘monkeypox’ kupimwa nchini Senegal

NA ANGELA OKETCH SAMPULI za Wakenya wanne wanaohofiwa kuugua ugonjwa wa ndui ya nyani jana zilisafirishwa hadi Senegal kufanyiwa...

Mwanadada ashtakiwa kuiba saa na simu ya mpenziwe

NA RICHARD MUNGUTI MWANAMKE anayefanya biashara ameshtakiwa kwa kumwibia rafiki yake wa kiume saa na simu - vyote mali ya thamani ya...

BrighterMonday yazindua teknolojia ya kuwasaidia waajiri kupata wafanyakazi bora

NA WINNIE ONANDO JUKWAA la mtandao la kuchapisha nafasi za kazi la BrighterMonday, limezindua teknolojia mpya inayowasaidia waajiri...

Ushuru: Wenye baa wamtaka Ruto aongee

NA MARY WANGARI WENYE vilabu na hoteli nchini sasa wanamtaka Naibu Rais, William Ruto kujitokeza na kufafanua wazi pendekezo...