• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Matiang’i ashutumu sheria kwa kuruhusu washukiwa kuwania

NA ERIC MATARA WAZIRI wa Usalama Fred Matiang’i ameonya kuhusu uwezekano wa wahalifu kuchaguliwa katika viti mbalimbali kwenye Uchaguzi...

Wafugaji maeneo kame walia serikali imewapuuza

NA SAMMY WAWERU WAFUGAJI kutoka maeneo kame nchini wamelalamikia kuendelea kpuuzwa na serikali mifugo yao ikihangaishwa na kiangazi na...

Maskwota wa Mavoloni wataka usaidizi kutoka kwa serikali

NA LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa kijiji cha Mavoloni, Yatta, kaunti ya Machakos, wametoa malalamiko baada ya kufurushwa kutoka maeneo ya...

Tuju apuuzilia mbali hatua ya Dkt Mutua kugura Azimio

NA CHARLES WASONGA MKURUGENZI Mkuu wa muungano wa Azimio La Umoja-One Kenya Raphael Tuju amepuuzilia mbali hatua ya Gavana wa Machakos...

FIDA yataka wawaniaji wenza wa urais, ugavana wawe wanawake

NA BENSON MATHEKA SHIRIKISHO la Mawakili Wanawake Kenya (FIDA-Kenya) linataka kila mwaniaji urais na ugavana mwanamume katika uchaguzi...

Wanawake 3 wafungwa jela miezi sita kwa kuiba simu ya mwanamume

NA RICHARD MUNGUTI WANAWAKE watatu waliomwibia mkulima simu alipolewa katika kilabu kimoja jijini Nairobi wamefungwa miezi sita kila...

Wito wazazi wakome kutumia kauli ya Magoha kuhepa kulipa karo

NA KNA MWENYEKITI wa Chama cha Wakuu wa Shule za Sekondari nchini, (KESSHA), Kahi Indimuli, ametoa wito kwa wazazi ambao watoto wao...

Miili ya wavulana watatu yapatikana kwenye kidimbwi Juja

NA LAWRENCE ONGARO WAVULANA watatu wa kijiji cha Muthara, Juja, kaunti ya Kiambu, waliokuwa wametoweka wamepatikana wakiwa wamefariki...

NMG yatoa msaada kwa makao ya watoto

Na CECIL ODONGO WAISLAMU nchini wakiendelea kusherehekea Sikukuu ya Idd, watoto wanaoishi katika makao ya Mama Fatuma, Jumatano walipata...

Sonko atishia ‘kuanika Joho’

NA MWANDISHI WETU ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, ametishia kufichua siri anazodai kufahamu kuhusu utawala wa Gavana wa...

Isaack Hassan na aliyekuwa naibu wake, Zaja, waelekea kuwa majaji

NA CHARLES WASONGA ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) na naibu mwenyekiti wa tume hiyo Lilian Mahiri Zaja ni...

Korti yaokoa mzazi kumpeleka mtoto katika shule ghali

NA BRIAN OCHARO MAHAKAMA ya masuala ya familia Mombasa imeamua kuwa wazazi hawastahili kulazimishwa kulipia mambo wasiyoweza kugharimia,...