• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 6:39 PM

Wageni wawili wakaa kizuizini uchunguzi ukiendelea

NA RICHARD MUNGUTI WAGENI wawili ambao uraia wao bado kutambulikana wanazuiliwa na polisi kwa siku 10. Washukiwa hao Mcben Otaigbe na...

Mchuuzi kutoka Sudan Kusini ashtakiwa wizi wa simu ya Sh80,000

NA RICHARD MUNGUTI MCHUUZI kutoka Sudan Kusini aliyemezea mate simu ya rununu ya mwanasoka mwenzake ameshtakiwa. Sunday Johnson Kong...

Familia ya hayati yammiminia sifa kwa malezi bora

NA WINNIE ONYANDO FAMILIA ya hayati Rais Mstaafu, Mwai Kibaki, Jumamosi ilimmiminia sifa tele ikisema hakutelekeza wajibu wake kama...

Ashtakiwa kwa kumtwanga aliyekuwa mke wake siku za nyuma

NA RICHARD MUNGUTI MUME aliyemchapa mke waliyetengana ameshtakiwa mahakamani. Jaylan Mwaniki alishtakiwa mbele ya hakimu mwandamizi...

Askofu Muheria ahimiza wanasiasa waige mfano wa Kibaki

NA SAMMY WAWERU ASKOFU wa Kanisa la Katoliki jimbo la Nyeri, Anthony Muheria amewataka wanasiasa waige mfano wa Rais mstaafu Mwai Kibaki...

Hospitali ya Kenyatta yapewa jina la Kibaki mjini Nyeri

NA IRENE MUGO JENGO la Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta eneo la Othaya, Ijumaa lilibadilishwa jina na kuitwa Hospitali ya Mwai Kibaki,...

Wakenya kubaki bila kazi hoteli ya Hilton ikifungwa

NA JURGEN NAMBEKA IDADI kubwa ya Wakenya wanaohudumu katika hoteli ya kifahari ya Hilton katikati mwa jiji la Nairobi watapoteza kazi...

Wakazi wa Lamu wataka ahadi za Kibaki kwao zitimizwe

NA KALUME KAZUNGU WAKAZI wa Lamu wameitaka serikali kutimiza ahadi zilizotolewa kwao wakati wa ujenzi wa miradi iliyoanzishwa na utawala...

Ujenzi wa kituo cha kisasa kutoa mafunzo na huduma za kilimo Kabete kuanza

NA SAMMY WAWERU UJENZI wa kituo cha kisasa kitakachokuwa kikitoa mafunzo ya kilimo katika Chuo Kikuu cha Nairobi (UoN), bewa la Kabete...

Siku Kibaki alikosa sahani katika hafla ya Moi

Na FRANCIS MUREITHI HAYATI Mzee Mwai Kibaki alilazimika kula chakula kwenye sufuria baada ya kukosa sahani alipochelewa kufika katika...

Barobaro aeleza jinsi alivyofaidika na elimu bila malipo

NA WANDERI KAMAU BAROBARO Kioko Mwinzi ni miongoni mwa maelfu ya vijana ambao walinufaika pakubwa kutokana na Mpango wa Elimu Bila...

Kibaki alipofika kortini kujitetea

JOSEPH WANGUI Na MERCY MWENDE IJAPOKUWA watu wengi walimwona Rais Mstaafu Mwai Kibaki kama tajiri mkubwa, aliwashangaza wengi alipofika...