NA RICHARD MUNGUTI WAGENI wawili ambao uraia wao bado kutambulikana wanazuiliwa na polisi kwa siku 10. Washukiwa hao Mcben Otaigbe na...
NA RICHARD MUNGUTI MCHUUZI kutoka Sudan Kusini aliyemezea mate simu ya rununu ya mwanasoka mwenzake ameshtakiwa. Sunday Johnson Kong...
NA WINNIE ONYANDO FAMILIA ya hayati Rais Mstaafu, Mwai Kibaki, Jumamosi ilimmiminia sifa tele ikisema hakutelekeza wajibu wake kama...
NA RICHARD MUNGUTI MUME aliyemchapa mke waliyetengana ameshtakiwa mahakamani. Jaylan Mwaniki alishtakiwa mbele ya hakimu mwandamizi...
NA SAMMY WAWERU ASKOFU wa Kanisa la Katoliki jimbo la Nyeri, Anthony Muheria amewataka wanasiasa waige mfano wa Rais mstaafu Mwai Kibaki...
NA IRENE MUGO JENGO la Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta eneo la Othaya, Ijumaa lilibadilishwa jina na kuitwa Hospitali ya Mwai Kibaki,...
NA JURGEN NAMBEKA IDADI kubwa ya Wakenya wanaohudumu katika hoteli ya kifahari ya Hilton katikati mwa jiji la Nairobi watapoteza kazi...
NA KALUME KAZUNGU WAKAZI wa Lamu wameitaka serikali kutimiza ahadi zilizotolewa kwao wakati wa ujenzi wa miradi iliyoanzishwa na utawala...
NA SAMMY WAWERU UJENZI wa kituo cha kisasa kitakachokuwa kikitoa mafunzo ya kilimo katika Chuo Kikuu cha Nairobi (UoN), bewa la Kabete...
Na FRANCIS MUREITHI HAYATI Mzee Mwai Kibaki alilazimika kula chakula kwenye sufuria baada ya kukosa sahani alipochelewa kufika katika...
NA WANDERI KAMAU BAROBARO Kioko Mwinzi ni miongoni mwa maelfu ya vijana ambao walinufaika pakubwa kutokana na Mpango wa Elimu Bila...
JOSEPH WANGUI Na MERCY MWENDE IJAPOKUWA watu wengi walimwona Rais Mstaafu Mwai Kibaki kama tajiri mkubwa, aliwashangaza wengi alipofika...