• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 4:55 PM

Msako: Polisi waonja uhuni wa bodaboda

MARY WANGARI, BRIAN OJAMAA, WANGU KANURI TABIA ya uhuni na kujichukulia sheria mikononi imezidi kujitokeza wazi miongoni mwa waendeshaji...

Diwani asikitishwa na wakulima kuendelea kuasi kahawa

NA SAMMY WAWERU DIWANI wa wadi ya Murera, Ruiru, John Wokabi ameelezea kusikitishwa kwake na kuendelea kudorora kwa kilimo cha kahawa...

Anayedaiwa kubaka na kuiba apewa dhamana

NA TITUS OMINDE MSHUKIWA wa ubakaji anayedaiwa kuwaibia na kuwabaka wanawake katika miji ya Eldoret, Kitale, Bungoma jana Jumatano...

Mjakazi akiri kuiba mali ya mwajiri wake

NA JOSEPH NDUNDA MJAKAZI alifikishwa katika Mahakama ya Kibera, Nairobi akikabiliwa na shtaka la kuiba vito vya thamani ya Sh573,411...

Baadhi ya takwimu za kurejelea mafanikio ya Jubilee zatiliwa shaka

NA MWANGI MUIRURI WASHAURI na wanaomwandikia Rais Uhuru Kenyatta hotuba zake za kusomewa umma wamesutwa kama ambao humfanya ajiangazie...

Wachezaji wa Leopards waendelea na mgomo

NA JOHN ASHIHUNDU Wachezaji wa AFC Leopards wamekataa kufanya mazoezi hadi walipwe mshahara wao wa miezi miwili. Vijana hao...

Watakaofeli mchujo wapata njia ya kujiokoa

NA CHARLES WASONGA WAWANIAJI viti mbalimbali kwa tiketi ya vyama ambao watashindwa katika kura za mchujo zitakazokamilika Aprili 22 sasa...

Washukiwa wa ulaghai walemewa kulipa dhamana ya Sh8m

Na RICHARD MUNGUTI  WAKURUGENZI wawili walioghushi cheti cha ulipaji kodi ili kampuni yao ishinde zabuni ya kununua taa za kutumika...

Middlesbrough yadengua Tottenham FA

Na MASHIRIKA CHINI YA kocha Chris Wilder, Middlebrough waliendeleza makali yao dhidi ya miamba wa soka ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa...

TANZIA: Mipango ya mazishi ya mamake Waititu yaendelea

Na WINNIE ONYANDO MPANGO wa kumzika mama wa aliyekuwa gavana wa Kiambu, Ferdinand Waititu aliyeaga dunia Jumapili unaendelea. Bw...

Vijana wakosolewa kupenda bodaboda badala ya masomo

STEPHEN ODUOR NA MAUREEN ONGALA MBUNGE wa Galole, Bw Said Hiribai, amewakosoa vijana wa Tana River ambao huchagua biashara ya bodaboda...

Familia yapinga mshukiwa wa mauaji ya baba yake kupewa dhamana

NA BRIAN OCHARO MWANAMUME aliyeshtakiwa kwa madai ya kumuua baba yake na kuficha mwili wake kwa gunia, atasalia rumande hadi kesi...