• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Ruto ashangaa kuwa parachichi moja Murang’a huuzwa kwa hasara ya Sh245

NAIBU Rais Dkt William Ruto alishangaa kuwa parachichi moja Murang'a huuzwa kwa hasara ya...

Sabina Chege akwepa kikao na IEBC

Na WANDERI KAMAU MWAKILISHI wa Kike wa Kaunti ya Murang’a, Bi Sabina Chege, jana Jumanne alikosa kuhudhuria kikao ambapo alitarajiwa...

Raia waingiwa na hofu polisi wakiendelea kujiua

NA BENSON MATHEKA WASIWASI umekumba Wakenya kuhusu usalama wao kutokana na ongezeko la visa vya maafisa wa polisi wanaopaswa kuwalinda...

MKU yasifu utaratibu wa kuwaweka waajiriwa katika mkataba wa utendakazi

Na LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya (MKU) kimeweka mkataba wa utendaji kazi kwa wafanyakazi wote chuoni humo. Mwenyekiti wa...

Jitihada ni madini

Na Assumptah Wausi Salamu zangu pokea, himizo kama mpini Waliyasema ya kale , juhudi pato amini Usiseme ni ya kale , tafakari kwa...

Vyama tayari kuvuna kupitia mchujo

NA ONYANGO K’ONYANGO VYAMA vya kisiasa vinatarajiwa kuvuna mamilioni ya pesa kutoka kwa wawaniaji wanaopanga kuwania nyadhifa mbalimbali...

Middlebrough yadengua Man-United kwenye Kombe la FA kupitia penalti

Na MASHIRIKA MANCHESTER United waliaga kampeni za Kombe la FA msimu huu baada ya Middlesbrough kuwadengua kwenye raundi ya nne ya kipute...

Uhuru ataja mbinu za kuvumisha Raila

Na LEONARD ONYANGO RAIS Uhuru Kenyatta jana Ijumaa alitangaza azma yake ya kujitosa rasmi katika siasa kumsaidia kinara wa ODM, Bw Raila...

Kingi ajitenga na lawama jukwa la mkutano wa Ruto likiharibiwa usiku

Na MAUREEN ONGALA GAVANA wa Kaunti ya Kilifi Amason Kingi, amejitenga na madai ya kuhusika na tukio ambapo kundi limedaiwa kukodishwa...

Mswada wazua hofu ya njama ya kuiba kura

NA CHARLES WASONGA KUNA wasiwasi kuwa mswada mpya unaobadilisha sheria kuhusu mfumo wa uwasilishaji matokeo ya uchaguzi wa urais ni...

Kuppet yataka walimu wapewa mafunzo ya CBC

Na GEORGE SAYAGIE CHAMA cha Walimu wa Shule za Upili na Vyuo Anuwai (KUPPET) kinaitaka Wizara ya Elimu iwape mafunzo walimu wa shule za...

Historia yawafaa Ruto, Raila 50:50

Na CHARLES WASONGA HISTORIA ya kinyanga’anyiro cha urais nchini inaonyesha ushindi wa Agosti 9 unaweza kwenda upande wowote kati ya...