• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 4:26 PM

Kocha Vihiga Queens asema hakuna kulaza damu Ligi kuu

Na JOHN KIMWERE KAMPENI za kuwania taji la Ligi Kuu ya Soka la Wanawake zinaendelea kuchacha huku Vihiga Queens ikizidi kukaa kileleni...

Mudavadi alivyosaliti wenzake OKA

Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi, aliwapumbaza vinara wenza katika One Kenya...

Siku ya sarakasi kwa Wanjigi, alala ndani licha ya kujifungia kwa nyumba

Na RICHARD MUNGUTI POLISI Jumanne walimkamata mfanyabiashara Jimmy Wanjigi na mkewe Irene Nzisa licha ya agizo la mahakama kuu wasiwatie...

Idara yaonya kuhusu wahubiri bandia Kilifi

Na MAUREEN ONGALA IDARA ya watoto katika Kaunti ya Kilifi, imetoa tahadhari kuhusu ongezeko la visa ambapo wazazi huwapeleka watoto...

Wabunge wataka CBC iondolewe, wasema ni ghali kwa wazazi na mzigo kwa walimu

Na BRIAN OJAMAA WABUNGE wawili kutoka Kaunti ya Bungoma, wamemtaka Rais Uhuru Kenyatta na Waziri wa Elimu George Magoha, kuondoa mtaala...

Shule za upili kuorodheshwa kwa uwezo wa CBC

REGINAH KINOGU na GEORGE MUNENE SHULE za upili za kiwango cha chini zitaorodheshwa kulingana na idadi ya vifaa zilivyo navyo kuwawezesha...

Waathiriwa wa moto kusubiri zaidi kujengewa makazi

Na SAMMY KIMATU FAMILIA zaidi ya 100 ambazo nyumba zao ziliteketea mkesha wa Krismasi mwaka jana katika mtaa wa Kayaba, kaunti ndogo ya...

Kitengo cha matibabu cha Uhuru Kenyatta Wing chazinduliwa Ruiru

Na LAWRENCE ONGARO HOSPITALI ya Ruiru Level 4 tayari imezindua kitengo kiitwacho Uhuru Kenyatta Wing ambacho Gavana wa Kaunti ya Kiambu...

Serikali yajizatiti kukamilisha miradi ya Uhuru

Na WINNIE ATIENO SERIKALI inaharakisha kukamilishwa kwa miradi ya uwekezaji iliyoanzishwa na Rais Uhuru Kenyatta yenye thamani ya Sh1.4...

Familia kortini kupinga hatua ya kuwahamisha

Na MARY WAMBUI FAMILIA zaidi ya 2,500 katika eneo la Mutomo, Gatundu Kusini, Kaunti ya Kiambu, zimepinga mpango wa kuwahamisha kupisha...

Gari lililojaa bangi lanaswa baada ya kuhusika kwenye ajali ya barabarani

NA KENYA NEWS AGENCY POLISI walinasa bangi ya mamilioni ya fedha baada ya gari lililokuwa likiisafirisha kuhusika kwenye ajali katika...

Familia kortini kupinga hatua ya kuwahamisha

Na MARY WAMBUI FAMILIA zaidi ya 2,500 katika eneo la Mutomo, Gatundu Kusini, Kaunti ya Kiambu, zimepinga mpango wa kuwahamisha kupisha...