Na JOHN KIMWERE KAMPENI za kuwania taji la Ligi Kuu ya Soka la Wanawake zinaendelea kuchacha huku Vihiga Queens ikizidi kukaa kileleni...
Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi, aliwapumbaza vinara wenza katika One Kenya...
Na RICHARD MUNGUTI POLISI Jumanne walimkamata mfanyabiashara Jimmy Wanjigi na mkewe Irene Nzisa licha ya agizo la mahakama kuu wasiwatie...
Na MAUREEN ONGALA IDARA ya watoto katika Kaunti ya Kilifi, imetoa tahadhari kuhusu ongezeko la visa ambapo wazazi huwapeleka watoto...
Na BRIAN OJAMAA WABUNGE wawili kutoka Kaunti ya Bungoma, wamemtaka Rais Uhuru Kenyatta na Waziri wa Elimu George Magoha, kuondoa mtaala...
REGINAH KINOGU na GEORGE MUNENE SHULE za upili za kiwango cha chini zitaorodheshwa kulingana na idadi ya vifaa zilivyo navyo kuwawezesha...
Na SAMMY KIMATU FAMILIA zaidi ya 100 ambazo nyumba zao ziliteketea mkesha wa Krismasi mwaka jana katika mtaa wa Kayaba, kaunti ndogo ya...
Na LAWRENCE ONGARO HOSPITALI ya Ruiru Level 4 tayari imezindua kitengo kiitwacho Uhuru Kenyatta Wing ambacho Gavana wa Kaunti ya Kiambu...
Na WINNIE ATIENO SERIKALI inaharakisha kukamilishwa kwa miradi ya uwekezaji iliyoanzishwa na Rais Uhuru Kenyatta yenye thamani ya Sh1.4...
Na MARY WAMBUI FAMILIA zaidi ya 2,500 katika eneo la Mutomo, Gatundu Kusini, Kaunti ya Kiambu, zimepinga mpango wa kuwahamisha kupisha...
NA KENYA NEWS AGENCY POLISI walinasa bangi ya mamilioni ya fedha baada ya gari lililokuwa likiisafirisha kuhusika kwenye ajali katika...
Na MARY WAMBUI FAMILIA zaidi ya 2,500 katika eneo la Mutomo, Gatundu Kusini, Kaunti ya Kiambu, zimepinga mpango wa kuwahamisha kupisha...