• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 3:55 PM

Rais afariji Tuju kwa kumpoteza mamake

MARY WANGARI na PSCU RAIS Uhuru Kenyatta jana aliifariji familia ya Katibu Mkuu wa Chama cha Jubilee, Waziri Raphael Tuju, kufuatia kifo...

Mkuu wa DCI ahukumiwa miezi minne jela

Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) George Kinoti, Alhamisi alihukumiwa kifungo cha miezi minne gerezani...

Vituo vya pombe vyaongeza uzembe Juja

Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa kijiji cha Witeithie, Juja, Kaunti ya Kiambu, wanalalamika kuhusu ongezeko la vituo vya kuuza pombe kali ya...

Pigo kwa ‘mpango wa kando’ Uhuru akisaini sheria kuhusu urithi

Na CHARLES WASONGA NI pigo kwa wapenzi wa pembeni baada ya Rais Uhuru Kenyatta kutia saini mswada unaowazima kudai mgao wa urithi wa...

MKU yaendesha kongamano la kibiashara

Na LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya (MKU), na kituo cha YUNUS Centre, zimefanya kongamano la kumi la pamoja la Social Business...

Kaluma afurahia kutiwa saini kwa mswada wa kuzima ‘mpango wa kando’ katika urithi

Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Homa Bay Mjini Peter Kaluma Jumatano alijawa na furaha baada ya Rais Uhuru Kenyatta kutia saini mswada wa...

Kiraitu akerwa na matamshi ya Ruto

Na CHARLES WASONGA GAVANA wa Meru Kiraitu sasa amejibu Naibu Rais William Ruto ambaye alimshutumu juzi kwa madai kuwa anaunga mkono...

Utafunaji miraa unaharibu hali ya usafi – Jaji

Na MAUREEN ONGALA JAJI wa Mahakama ya Malindi, Bw Stephene Githinji, amelaumu uraibu wa utafunaji miraa na muguka kwa uchafuzi wa...

Mkazi adai hakimiliki za ‘Bottom up’

Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA aliyebuni mfumo wa kiuchumi wa “Bottom Up” anaomba Mahakama Kuu iwazime wanasiasa kuutumia kama...

Ukiukaji wa haki za Miguna hatari kwa nchi – Mutunga

Na BENSON MATHEKA UJASIRI wa Serikali ya Kenya wa kupuuza, kudharau na kukiuka maagizo ya mahakama unafaa kutia wasiwasi raia wa nchi...

Waandamanaji wapeleka maiti kwa ofisi ya serikali

Na KALUME KAZUNGU WAANDAMANAJI wenye ghadhabu kisiwani Lamu, Jumanne walizua kioja walipobeba maiti ya mwanamume aliyefariki akiwa na...

Kukubo angali na ndoto ya kuwa rais wa Kenya

Na WINNIE ONANDO ALIYEKUWA mwanajeshi katika Kikosi cha ulinzi cha KDF, Nixon Kukubo aliyewania kiti cha urais mara mbili na kushindwa...