• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM

Awara amlewesha Mganda na kumpora Sh130,000

Na RICHARD MUNGUTI MWANAMKE aliyempumbaza mfanya biashara kutoka Uganda kwa kumpa madawa ya kulevya kabla ya kumwibia Sh130,000...

Akamatwa na bastola feki na kutupwa jela

Na RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA wa ujambazi aliyekamatwa na bastola feki aliyokuwa anatumia kutisha wananchi ameshtakiwa kujiandaa...

Mawaziri wamng’ang’ania Raila shereheni

Na CHARLES WASONGA MAWAZIRI mbalimbali jana walimlaki kwa heshima kuu kiongozi wa ODM, Raila Odinga alipowasili kwa sherehe za kitaifa...

Washukiwa kusalia seli siku 10

WYCLIFFE NYABERI na CHARLES WASONGA WANAUME wanne wanaoshukiwa kuwateketeza wanawake wakongwe kwa tuhuma za uchawi eneo la Marani,...

Korti yaelezwa jinsi mwanamke alivyoibia mfanyabiashara

Na JOSEPH NDUNDA MFANYABIASHARA raia wa Uganda aliibiwa Sh130,000 na mwanamke saa chache baada ya kukutana kwa mara ya kwanza katika baa...

Obado na watoto wake wanne kujibu mashtaka ya ufisadi wa Sh73.4M

Na RICHARD MUNGUTI GAVANA wa Migori Okoth Obado na watoto wake wanne na washtakiwa wengine 10 watajibu mashtaka upya Alhamisi (oktoba 21)...

Watu 26 wanaoishi na ulemavu Kiambu wapokea vifaa vya kazi kutoka NFDK

Na LAWRENCE ONGARO WALEMAVU wapatao 26 kutoka Kiambu, wamenufaika na vifaa vya kazi kutoka kwa mfuko wa Hazina ya Kitaifa Maalum kwa...

Kibicho aonya wahuni wanaopanga kusambaratisha sherehe za Mashujaa Kirinyaga

Na SAMMY WAWERU SERIKALI imetoa onyo kali kwa wahuni wanaopanga kuzua fujo wakati wa maadhimisho ya Sikukuu ya Mashujaa 2021,...

DPP ataka kesi za Kimwarer, Arror ziunganishwe

Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP), Noordin Haji sasa anataka kesi za ufisadi wa Sh63 bilioni zinazowakabili...

Bodi yasaka chanzo cha jengo kuporomoka

Na WINNIE ONYANDO BODI ya wahandisi nchini (EBK) inaendelea kuchunguza mkasa wa kuporomoka kwa jengo mjini Ruiru, Kaunti ya Kiambu...

Mwanachuo ashtakiwa kwa kutuma picha za ngono kwa mtoto wa kike

Na RICHARD MUNGUTI MWANAFUNZI katika chuo cha Kabete Vetlab alishtakiwa Jumanne kwa kumtumia msichana wa miaka 14 picha za wanaume wakiwa...

Bawabu taabani kwa kumpiga mwanamke picha akiwa msalani

Na RICHARD MUNGUTI MLINZI aliyechukua picha za video ya mwanamke akiwa msalani akitumia simu ya Smartphone katika kituo kimoja cha mafuta...