Na RICHARD MUNGUTI MWANAMKE aliyempumbaza mfanya biashara kutoka Uganda kwa kumpa madawa ya kulevya kabla ya kumwibia Sh130,000...
Na RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA wa ujambazi aliyekamatwa na bastola feki aliyokuwa anatumia kutisha wananchi ameshtakiwa kujiandaa...
Na CHARLES WASONGA MAWAZIRI mbalimbali jana walimlaki kwa heshima kuu kiongozi wa ODM, Raila Odinga alipowasili kwa sherehe za kitaifa...
WYCLIFFE NYABERI na CHARLES WASONGA WANAUME wanne wanaoshukiwa kuwateketeza wanawake wakongwe kwa tuhuma za uchawi eneo la Marani,...
Na JOSEPH NDUNDA MFANYABIASHARA raia wa Uganda aliibiwa Sh130,000 na mwanamke saa chache baada ya kukutana kwa mara ya kwanza katika baa...
Na RICHARD MUNGUTI GAVANA wa Migori Okoth Obado na watoto wake wanne na washtakiwa wengine 10 watajibu mashtaka upya Alhamisi (oktoba 21)...
Na LAWRENCE ONGARO WALEMAVU wapatao 26 kutoka Kiambu, wamenufaika na vifaa vya kazi kutoka kwa mfuko wa Hazina ya Kitaifa Maalum kwa...
Na SAMMY WAWERU SERIKALI imetoa onyo kali kwa wahuni wanaopanga kuzua fujo wakati wa maadhimisho ya Sikukuu ya Mashujaa 2021,...
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP), Noordin Haji sasa anataka kesi za ufisadi wa Sh63 bilioni zinazowakabili...
Na WINNIE ONYANDO BODI ya wahandisi nchini (EBK) inaendelea kuchunguza mkasa wa kuporomoka kwa jengo mjini Ruiru, Kaunti ya Kiambu...
Na RICHARD MUNGUTI MWANAFUNZI katika chuo cha Kabete Vetlab alishtakiwa Jumanne kwa kumtumia msichana wa miaka 14 picha za wanaume wakiwa...
Na RICHARD MUNGUTI MLINZI aliyechukua picha za video ya mwanamke akiwa msalani akitumia simu ya Smartphone katika kituo kimoja cha mafuta...