• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 3:55 PM

Ngirici ataka wahudumu wa bodaboda kujiepusha na uhalifu

Na KNA MBUNGE Mwakilishi wa Kirinyaga Wangui Ngirici amewataka wahudumu wa bodaboda katika eneo kujiepusha na vitendo vya uhalifu. Bi...

NMG yatoa msaada wa vitabu kwa wanafunzi shuleni Kawangware

Na SAMMY KIMATU WANAFUNZI zaidi ya 2,800 katika shule ya Msingi ya Kawangware Kaunti ndogo ya Dagoretti Mashariki, Nairobi wamepigwa...

DPP kuunganisha kesi ya mabwawa ya Kimwarer na Aror

Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa mashtaka ya umma (DPP) Noordin Haji jana aliwasilisha ombi ya kuunganishwa kwa kesi ya ufisadi wa...

Watano wakana wizi wa pikipiki

Na RICHARD MUMNGUTI WASHUKIWA watano wanaodaiwa kuwa wanachama wa genge linaloiba pikipiki almaarufu Bodaboda na kuziuza eneo la kaskazini...

Irene analenga kufikia Sho Madjozi kimuziki

Na JOHN KIMWERE  NI ndoto ya kila msanii kuona anaimarika katika kazi zake na kutambulika kote duniani. Irene Mumbua Nzuki maarufu...

Anita: Analenga kutesa katika uigizaji na masuala ya urembo

Na JOHN KIMWERE  NI ndoto ya kila msanii kuona anaimarika katika sanaa yake na kutambulika kote duniani.   Anita Wanjiru Njoroge...

KDF yafichua ilivyoteka Kismayu na Al-Shabaab

NA WACHIRA MWANGI KITENGO maalum cha boti katika Kikosi cha Jeshi la Wanamaji chenye makao yake Mtongwe, Kaunti ya Mombasa, kilichangia...

Walioathirika kutokana na kero ya nzige wanaendelea kupata msaada wa chakula

Na SAMMY WAWERU SERIKALI inaendelea kutoa msaada wa chakula na mahitaji mengine muhimu ya kimsingi kwa familia zilizoathirika kufuatia...

Kaunti ya Bungoma ilipoteza Sh2.6Bilioni tangu 2013

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya kesi za ufisadi imefahamishwa zaidi ya Sh2.6bilioni zililipwa makampuni 23 kinyume cha sheria katika kaunti...

Chipukizi Appiah aanza kuona matunda ya uigizaji

Na JOHN KIMWERE  PENYE nia pana njia. Ndivyo wahenga walivyologa, tangia zama zile baada ya kupasua hilo mpaka sasa, msemo huo...

Asukumwa jela miaka mitano kwa kudai pesa za fidia za mtu aliye hai

Na RICHARD MUNGUTI MLAGHAI alifungwa Jumatano miaka mitano na miezi minne gerezani kwa kughushi hati ya kifo cha binamuye na kujaribu...

Babu wa miaka 75 kusalia rumande

Na RICHARD MUNGUTI MZEE mwenye umri wa miaka 75 aliyekuwa ametoroka mahakama katika kesi ya wizi wa Sh2.4milioni atakaa rumande hadi...