Na RICHARD MUNGUTI MZEE mwenye umri wa miaka 75 aliyekuwa ametoroka mahakama katika kesi ya wizi wa Sh2.4milioni atakaa rumande hadi...
Na RICHARD MUNGUTI HOJA ya kumtimua kazini mkurugenzi wa mashtaka ya umma (DPP) Noordin Haji iliwasilishwa na mawakili zaidi ya 10 kwa...
Na JOHN KIMWERE NI kati ya wasanii wengi tu wa kiume wanaojituma mithili ya mchwa katika tasnia ya uigizaji wakipania kuibuka...
Na JOHN KIMWERE NI ndoto ya kila msanii kuona anaimarika katika kazi zake na kutambulika kote duniani. Alice Karwitha Kithinji...
Na JOHN KIMWERE ANAELEKEA kutinga miaka mitatu tangia aanze kujituma kwenye masuala ya maigizo ambapo amepania kufikia hadhi ya filamu...
Na LEONARD ONYANGO HATUA ya serikali kutangaza Oktoba 10 kuwa Siku ya Utamaduni bila kuandaa maadhimisho ya kitaifa, ni kazi...
Na SIAGO CECE SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa itashirikiana na kaunti zingine za Pwani kuinua sekta ya utalii ambayo imepata pigo kubwa...
Na JACKLINE MACHARIA WIZARA ya Afya imewaonya wahudumu wa afya wasitumie dawa aina ya Ivermeclin, ambayo inatumika kuwaua chawa, kutoa...
Na MARY WANGARI MWANAHABARI wa miaka mingi, Badi Muhsin, aliyefariki Ijumaa akiwa Mombasa na kuzikwa Jumamosi jijini Nairobi, ametajwa...
Na IRENE MUGO WAZIRI Kilimo Peter Munya ametetea Mamlaka ya Kilimo cha Majanichai (KTDA) kuhusu malipo ya chini ya bonasi kwa wakulima...
Na MAUREEN ONGALA WAKAZI wa maeneo ya Baricho na Lango Baya katika Kaunti ya Kilifi wameelezea matumaini kwamba mradi unaoendelea wa...
Na ANTHONY KITIMO KENYA imefutilia mbali leseni za meli sita za uvuvi za China kwa madai kwamba zilikuwa zikidhulumu mabaharia wa Kenya...