• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 8:50 AM

Mkenya azuiliwa Uhispania kwa kugeuka mla watu

Na Hilary Kimuyu POLISI katika mji wa Uhispania wa Seville wanamzuilia mwanamke Mkenya anayedaiwa kuuma na kula vidole viwili vya...

CHARLES WASONGA: SGR kuelekea Malaba itapiga jeki biashara

Na CHARLES WASONGA TANGAZO la Shirika la Reli nchini (KRC) kwamba huduma za treni kati ya Mombasa na miji ya Kisumu na Malaba zitaaza...

BENSON MATHEKA: TSC iwe na uwazi na usawa katika mpango wa mafunzo

Na BENSON MATHEKA Mafunzo ambayo Tume ya Huduma ya Walimu (TSC) imeagiza walimu kuanza ili kukuza taaluma yao yamegubikwa na usiri na...

Tumewafaa wateja wetu wakati wa corona – Safaricom

Na WANGU KANURI [email protected] Kupitia ripoti endelevu ya kibiashara iliyochapishwa na Safaricom juzi, kampuni ilisema...

Kiongozi wa kijeshi Guinea aapishwa kuwa rais wa mpito

Na MASHIRIKA CONAKRY, Guinea Tafsiri: CHARLES WASONGA KIONGOZI wa kijeshi nchini Guinea Mamadi Doumbouya Ijumaa aliapishwa kuwa...

Kampuni zatakiwa kuimarisha usiri wa data za wateja

Na WANGU KANURI [email protected] Ulinzi wa data ya kibinafsi umekuwa changamoto nchini Kenya huku wataalamu wakiwarai wakuu...

KANU yamteua Gedion Moi kuwania urais 2022

Na SAMMY WAWERU KIONGOZI wa KANU Bw Gedion Moi ameteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho kuwania kiti cha urais katika uchaguzi mkuu...

Kega: Seneta Moi ametosha unga kumrithi Rais Kenyatta

Na SAMMY WAWERU MBUNGE wa Kieni Bw Kanini Kega ameonekana kubadilisha kauli yake ya kumuunga mkono kiongozi wa ODM, Raila Odinga...

Serikali yawataka wazazi walinde watoto dhidi ya dhuluma na habari potovu mitandaoni

Na WINNIE ONYANDO SERIKALI inawataka wazazi kuwajibika na kuwalinda watoto wao dhidi ya habari potovu na dhuluma mtandaoni. Waziri wa...

Kalonzo awarai vinara wa OKA kumpa tiketi kuwania urais 2022

Na SAMMY WAWERU KIONGOZI wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amesihi vinara wenza katika Okoa Kenya Alliance (OKA) kumpa tiketi ya...

Mwanamume asukumwa jela miaka 25 kwa kuua mtoto

Na BRIAN OCHARO MWANAMUME amehukumiwa kifungo cha miaka 25 gerezani baada ya kupatikana na hatia ya mauaji ya mtoto mwenye umri wa...

Wizara ya Kilimo inavyoshirikisha vijana na kuwapa motisha kuzamia kilimo

Na SAMMY WAWERU WAZIRI msaidizi katika Wizara ya Kilimo, CAS Anne Nyaga amesema idara yake imeweka mikakati kabambe kushirikisha vijana...