• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 7:47 PM

Wabunge wakiri IEBC imepungukiwa na fedha za uchaguzi

Na CHARLES WASONGA SIKU chache baada ya Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati kulalamikia kupungukiwa na...

Hatimaye Bomet yauza majanichai Iran

Na VITALIS KIMUTAI GAVANA wa Bomet Hillary Barchok hatimaye jana aliongoza maafisa wa Kaunti hiyo kuuza tani 84 za majanichai moja kwa...

WABUNGE waisuta TSC kwa kubebesha walimu mzigo wa mafunzo ya ziada

Na CHARLES WASONGA WABUNGE Jumanne jioni walipinga vikali mpango wa Tume ya Huduma za Walimu (TSC) ya kuwataka walimu kulipa Sh6,000...

Uteuzi wa Chiloba ni njama ya kuboronga uchaguzi 2022 – Akombe

Na SAMMY WAWERU ALIYEKUWA kamishna katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Dkt Roselyn Akombe  amedai uteuzi wa aliyekuwa afisa...

Azerbaijan yaitaka Armenia kukomesha kampuni zinazochafua Mto Okhchuchay

[caption id="attachment_86412" align="alignnone" width="1074"] Mtafiti akichukua sampuli ya maji katika Mto Okhchuchay ambao rangi yake...

Yaibuka Mfanyabiashara wa Sudan kusini raia wa Kenya alitembelewa na wanaume wawili usiku aliouawa

Na RICHARD MUNGUTI RAFIKIYE mfanyabiashara aliyeuawa kinyama katika eneo la Kilimani Nairobi alitembelewa na wanaume wawili usiku...

Chiloba sasa ateuliwa kinara wa Mamlaka ya Mawasiliano

Na SAMMY WAWERU ALIYEKUWA Afisa Mkuu Mtendaji wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Ezra Chiloba Jumane jioni aliteuliwa kuwa...

Ripoti yaibua wasiwasi kuhusu utunzaji wa nguruwe

Na SAMMY WAWERU UBORA wa nyama za nguruwe unategemea malezi, namna ya kuwasafirisha kuelekea kichinjioni na wanavyotunzwa kabla ya...

Mkulima anavyokabili kero ya mazao mbichi ya shambani kuharibika kwa kuyaongeza thamani

Na SAMMY WAWERU JEFF Mundia ambaye ni Meneja wa Nairobi Farmers Market, soko lililoko Kiambu Road, kiungani mwa jiji la Nairobi pia ndiye...

EPRA yashikilia kuwa ushuru na bei ya mafuta ng’ambo ndio sababu ya kupanda kwa bei ya mafuta

Na CHARLES WASONGA MAMLAKA ya Kusimamia Kawi na Petroli Nchini (EPRA) imehusisha kupanda kwa bei ya mafuta na kupanda kwa bei ya bidhaa...

Viongozi Mlima Kenya wampa Raila matakwa

Na JAMES MURIMI VIONGOZI wa eneo la Mlima Kenya wamewasilisha kwa kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga, orodha ya mambo wanayotaka ili...

Wakulima wa chai kulipwa bonasi ya juu mwaka ujao

Na DERICK LUVEGA WAKULIMA wa majanichai sasa wana kila sababu ya kutabasamu baada ya Waziri wa Kilimo Peter Munya kutangaza kuwa...