• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 5:55 AM

NCIC yachunguza kisa cha Wanjigi kupigwa mawe alipozuru Migori

Na WINNIE ONYANDO TUME ya Uwiano na Utangamano (NCIC), inachunguza kisa ambapo mwanasiasa wa Chama cha ODM, Jimi Wanjigi alipigwa mawe...

Maafisa wanne wa polisi wanaoshtakiwa kwa mauaji ya wakili Willy Kimani

Na RICHARD MUNGUTI MAAFISA wanne wa polisi wa utawala wanaoshtakiwa pamoja na kachero kwa mauaji ya wakili Willy Kimani miaka mitano...

Pendekezo barabara ya jiji la Nairobi ipewe jina la Raila

Na COLLINS OMULO KIONGOZI wa Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga huenda akawa kiongozi mpya kupata barabara...

Wenye ardhi inayohusishwa na Ruto Laikipia hawajulikani

Na DENNIS MATARA ARDHI ya ADC Mutara, Kaunti ya Laikipia ambayo imehusihwa na Naibu Rais William Ruto, imekodishwa kwa watu kadhaa...

Wachungaji kutoka Thika Mashariki watakasa eneo la mauti

Na LAWRENCE ONGARO VIONGOZI wa makanisa manane na waumini walikongamana kwenye eneo la mauti katika kijiji cha Gatuanyaga, Kaunti ya...

Njaa: Serikali kuanza kusambaza mlo, maji

Na WINNIE ATIENO SERIKALI kuu itaanza kuwapa msaada wa chakula na maji wanaoathiriwa na njaa kuanzia wiki ijayo, ili kuokoa maisha baada...

Amani: Kalonzo kutuzwa leo Dubai

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka leo Jumatatu atakuwa miongoni mwa watu watakaopokezwa tuzo mbali mbali Dubai...

Wakenya wamiminika UG kununua mafuta

Na WAANDISHI WETU MAMIA ya madereva katika miji ya Busia na Malaba wamekuwa wakivuka mpaka hadi Uganda kununua mafuta ya magari na...

CBC: Onyo wazazi wasifanyie watoto kazi za ziada

Na FAITH NYAMAI WAZAZI ambao watoto wao wanapata mafunzo chini ya mtaala mpya wa Umilisi na Utendaji (CBC) wametakiwa kukoma kuwasaidia...

Serikali kugawana malipo na wauguzi wanaotumwa UK

Na NASIBO KABALE SERIKALI itapata asilimia fulani ya baadhi ya pesa watakazolipwa wauguzi wanaofanya kazi Uingereza kufuatia mkataba...

Koome aagiza kesi za miaka minne zimalizwe

Na RICHARD MUNGUTI JAJI mkuu Martha Koome amewaagiza mahakimu wote kote nchini wasikize na kuamua haraka kesi zote zilizowasilishwa...

Aliyekuwa kinara wa KEMRI Dkt Davy Koech achapwa faini ya Sh19.6m

Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA mkurugenzi wa taasisi ya kitaifa ya utafiti wa madawa (Kemri) Dkt Davy Koech ametozwa faini ya Sh19.6milioni...