• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Kesi ya ughushi wa vyeti vya elimu dhidi ya mbunge Oscar Sudi kusikizwa upesi

Na RICHARD MUNGUTI KESI ya ughushi wa vyeti vya mitihani dhidi ya Mbunge wa Kapsaret Oscar Sudi itasikizwa bila kuahirishwa hadi...

Tamaa yapelekea hoteli ya kifahari kufungwa

Na RICHARD MUNGUTI WAKURUGENZI watatu wa hoteli iliyo na thamani ya Sh1biliioni walieleza mahakama Ijumaa kwamba tamaa na uhasama baina ya...

Tamaa yapelekea hoteli ya kifahari kufungwa

Na RICHARD MUNGUTI WAKURUGENZI watatu wa hoteli iliyo na thamani ya Sh1bilioni walieleza mahakama Ijumaa kwamba tamaa na uhasama baina ya...

Mwaniaji kiti cha ubunge na mkewe watozwa faini kwa kughushi stakabadhi

Na RICHARD MUNGUTI MWANIAJI kiti cha ubunge Kimilili ametozwa faini ya Sh110,000 pamoja na mkewe kwa kughushi stakabadhi za umiliki wa...

Korti sasa kuamua hatima ya kesi kuhusu CBC

RICHARD MUNGUTI na GEORGE MUNENE MFUMO wa Elimu na Umilisi (CBC) umepata pigo baada ya mzazi kupitia Chama cha Mawakili nchini (LSK)...

Bodaboda kutoka Kenya wafurika Uganda kwa mafuta

Brian Ojamaa na Titus Ominde WAENDESHAJI bodaboda na wahudumu wa matatu katika Kaunti ya Busia wamegeukia kununua mafuta kwa bei nafuu...

Kanuni mpya kwa walimu wa nyanjani

Na FAITH NYAMAI TUME ya Kuwaajiri Walimu (TSC) imetoa masharti ya ajira kwa nyadhifa 1,995 za walimu walio kwenye mpango wa mafunzo ya...

Wasichana 330,000 walipata mimba 2020 – Ripoti

Na MORAA OBIRIA MATINEJA chipukizi zaidi ya 330,000 wenye umri kati ya miaka 10-19 walipachikwa mimba 2020, wakati ambapo wanafunzi...

Mtoto aibwa mchana punde baada ya kuzaliwa

Na BRIAN OJAMAA HALI ya sintofahamu imekumba familia moja katika eneo la Machinjoni, eneobunge la Kimilili katika Kaunti ya Bungoma,...

UGUMU WA MAISHA KUZIDI OKTOBA

Na PETER MBURU HALI ngumu ya maisha inawasubiri Wakenya siku chache zijazo, wakati serikali, kwa mara nyingine, itakapopandisha ushuru...

Munyes na Keter waitwa na Seneti kuhusu bei ya mafuta

Na CHARLES WASONGA MASENETA wamewaita Waziri wa Petroli John Munyes na mwenzake wa Kawi Charles Keter kufika mbele yake Jumanne wiki...

Aliyelaghai Sh5Milioni ashtakiwa

Na RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA wa ufisadi alifikishwa kortini Ijumaa akikabiliwa na shtaka la kumfuja mfanyabiashara Sh5milioni akidai...