Na Leonard Onyango KULA parachichi (avocado) kila siku kunaweza saidia wanawake kupunguza mafuta tumboni, kulingana na utafiti...
Na RICHARD MUNGUTI MWANAMKE ameshtakiwa kuibia maduka yaliyo ndani ya kampi ya Jeshi (DFCO) Sh834,000. Lakini Bi Faith Njoki Gachagua,...
NA WANTO WARUI WANAFUNZI wengi katika taifa hili wamekuwa wakiathirika zaidi kimasomo kutokana na ukosefu wa kiusalama katika maeneo...
Na Winnie Oyando Matumizi ya pete ya ukeni (vaginal ring) miongoni mwa wanawake yanaweza kuzuia maambukizi ya virusi vya HIV, kulingana...
Na Kenya News Agency MKURUGENZI wa Shirika la Kitaifa la Huduma kwa Vijana (NYS) Matilda Sakwa amesema kuwa ufisadi ambao umezingira...
WINNIE ATIENO na BRIAN OCHARO VIONGOZI wa Kiislamu wameishutumu serikali kwa kuongezeka kwa visa vya kupotezwa kwa washukiwa wa ugaidi...
Na JAMES MURIMI MAMIA ya wakazi wa Ol Moran, Kaunti ndogo ya Kirima, Kaunti ya Laikipia wameapa kutorejea makwao huku operesheni...
Na FAITH NYAMAI WASICHANA sita wamefukuzwa kutoka Shule ya Sekondari ya Karen C, Nairobi, kuhusiana na madai ya kuuza mihadarati shuleni...
Na STEVE NJUGUNA SERIKALI imeanza kuwajengea nyumba wakazi wa Ol Moran, kitovu cha ghasia zilizogubika kaunti ndogo ya Laikipia...
Na AMINA WAKO KWA mara nyingine, Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP), Noordin Haji ameirejeshea Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi...
Na BERNARD MWINZI MAMLAKA ya Ukusanyaji Ushuru (KRA), imefunga akaunti za Chuo Kikuu cha Kenyatta (KU), na kusababisha wasiwasi miongoni...
Na MWANDISHI WETU MAHAKAMA KUU imeagiza kesi ya ufisadi inayomkabili mbunge wa Malindi, Aisha Jumwa, iahirishwe hadi kesi nyingine...