• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Wabunge, maseneta wataka wanajeshi wapelekwe Laikipia kutuliza hali

Na CHARLES WASONGA WABUNGE na Maseneta wameitaka Serikali kuwapeleka wanajeshi wa Kenya - KDF - katika Kaunti ya Laikipia kupiga jeki...

Wafyonzaji wa mafuta kutoka kwenye bohari wakamatwa jijini

Na SAMMY KIMATU WASHUKIWA kumi wamekamatwa na polisi kwa kudaiwa kufyonza mafuta katika bohari moja katika Eneo la Viwanda, Kaunti ya...

Kamket alala seli tena Lempurkel akijitetea

Na WAANDISHI WETU MBUNGE wa Tiaty, Bw William Kasait Kamket aliyekamatwa Jumatano kuhusiana na mashambulio ya ujangili Kaunti ya...

Lempurkel akana shtaka la kueneza chuki Laikipia

Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Mbunge wa Laikipia kaskazini Bw Mathew Lempurkel alishtakiwa Alhamisi kwa matamshi ya kuchochea uhasama wa...

Maelfu bado wapigania kuenda Saudia

Na MARY WAMBUI LICHA ya simulizi za kuatua moyo kuhusu madhila wanayopitia Saudi Arabia, maelfu ya Wakenya wamekwama Nairobi...

Kero ya stima kupotea bila notisi Zimmerman

Na SAMMY WAWERU BAADHI ya wakazi wa mtaa wa Carwash, Zimmerman, Kaunti ya Nairobi wamelalamikia tabia za kampuni ya kusambaza nguvu za...

Mifuko yatumika kama ushahidi wa mauaji ya wakili Kimani 2016

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu ilifahamishwa Jumanne kuwa mifuko ya kubebea bidhaa iliyokuwa na chapa ya Mulei's Supermarket...

Wakazi wateketeza lori lililogonga na kuua mwanafunzi

Na GERALD BWISA WAKAZI wenye ghadhabu katika eneo la Likuyani, Kaunti ya Kakamega, Jumanne waliteketeza lori lililogonga na kuua...

Serikali yatahadharisha wafugaji kuhamia kaunti jirani bila muafaka

Na KALUME KAZUNGU WAKUU wa usalama Kaunti ya Lamu wanahofia ongezeko la idadi ya mifugo inayohamishiwa eneo hilo kutoka kaunti jirani za...

Mifuko ya supa ya Mulei ilikutwa ndani ya nyumba ya afisa wa polisi anayeshtakiwa kwa mauaji ya wakili Willie Kimani

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA kuu ilifahamishwa jana mifuko ya kubebea bidhaa iliyokuwa na chapa cha Mulei Supermarket ilikutwa ndani ya...

Malumbano makali kati ya mawakili na DPP kuhusu kesi ya Sh8Milioni

Na RICHARD MUNGUTI MZOZO mkali ulizuka kati ya mawakili wanaowakilisha wakurugenzi watano wa kampuni ya kuuza mafuta na mkurugenzi wa...

Muuzaji bidhaa za hospitali apewa muda kulipa deni la Sh883,000

Na RICHARD MUNGUTI MUUZAJI bidhaa za hospitali alipewa hadi Novemba 2021 kulipa kampuni inayomdai Sh883,000. Bw Godfrey Otieno Ouma...