Na MARY WANGARI SERIKALI imeanzisha mikakati ya kuhakikisha Wakenya milioni 30 kuanzia wenye umri wa miaka 18 wamepata dozi kamili za...
Na RICHARD MUNGUTI ASKOFU aliyeshtakiwa na mshirika kwa kumpachika mimba amekubali kumlea mtoto aliyemzaa na kukimu mahitaji yake...
Na RICHARD MUNGUTI MAAFISA sita wa polisi wanaozuiliwa kufutia vifo vya ndugu wawili kaunti ya Embu wanaomba Mkurugenzi wa Mashtaka ya...
Na JOSEPH OPENDA UCHUNGUZI wa chembechembe za damu (DNA) umedhihirisha kuwa mjukuu wa hayati Daniel Moi, ndiye baba mzazi wa watoto...
Na SAMMY WAWERU MAMLAKA ya kitaifa kuangazia majanga (NDMA) imeelezea wasiwasi wake kuhusu kaunti kumi za maeneo kame (ASAL)...
Na PHILIP MUYANGA MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, anatakiwa kulipa kampuni ya mawakili Sh22.6 milioni kwa kumwakilisha katika kesi ya...
Na KALUME KAZUNGU WAVUVI katika Kaunti ya Lamu wanaendelea kuhatarisha maisha yao baharini kwa sababu ya umasikini, licha ya serikali...
Na CHARLES WASONGA BENKI ya Equity imekana madai ya Naibu Rais William Ruto kwamba ilimpa mkopo wa Sh15 bilioni mwandani wake, Mturuki...
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wiper, Stephen Kalonzo Musyoka amesema Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) imemwondolea lawama kuhusiana na...
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga, Jumatano alifanya ziara ya siku moja nchini Tanzania, akiwa njiani kurejea nchini...
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Thika walifurika kwa wingi kwenye uwanja wa michezo wa Thika ili kupokea chanjo ya Covid-19. Zaidi ya...
Na CHARLES WASONGA SERIKALI itatumia makundi ya vijana na waendeshaji bodaboda kuendesha mipango ya kudhibiti ghasia zinazohusiana na...