• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 1:20 PM

Serikali yajipanga kuchanja mamilioni

Na MARY WANGARI SERIKALI imeanzisha mikakati ya kuhakikisha Wakenya milioni 30 kuanzia wenye umri wa miaka 18 wamepata dozi kamili za...

Askofu akubali kumtunza mtoto wa kambo

Na RICHARD MUNGUTI ASKOFU aliyeshtakiwa na mshirika kwa kumpachika mimba amekubali kumlea mtoto aliyemzaa na kukimu mahitaji yake...

Polisi sita wapinga kushtakiwa kwa mauaji

Na RICHARD MUNGUTI MAAFISA sita wa polisi wanaozuiliwa kufutia vifo vya ndugu wawili kaunti ya Embu wanaomba Mkurugenzi wa Mashtaka ya...

DNA yaonyesha mjukuu wa Moi ndiye baba ya watoto anaopinga kuwalea

Na JOSEPH OPENDA UCHUNGUZI wa chembechembe za damu (DNA) umedhihirisha kuwa mjukuu wa hayati Daniel Moi, ndiye baba mzazi wa watoto...

FAO yajikakamua kuchangisha fedha kuokoa kaunti 23 zinazokumbwa na ukame

Na SAMMY WAWERU MAMLAKA ya kitaifa kuangazia majanga (NDMA) imeelezea wasiwasi wake kuhusu kaunti kumi za maeneo kame (ASAL)...

Wakili ataka Jumwa amlipe Sh22.6m

Na PHILIP MUYANGA MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, anatakiwa kulipa kampuni ya mawakili Sh22.6 milioni kwa kumwakilisha katika kesi ya...

Umaskini wasukuma wavuvi bahari hatari

Na KALUME KAZUNGU WAVUVI katika Kaunti ya Lamu wanaendelea kuhatarisha maisha yao baharini kwa sababu ya umasikini, licha ya serikali...

Equity yakana kumpa Aydin mkopo wa Sh15 bilioni

Na CHARLES WASONGA BENKI ya Equity imekana madai ya Naibu Rais William Ruto kwamba ilimpa mkopo wa Sh15 bilioni mwandani wake, Mturuki...

Kalonzo aondolewa doa la unyakuzi Yatta

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wiper, Stephen Kalonzo Musyoka amesema Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) imemwondolea lawama kuhusiana na...

Raila azuru TZ akiwa njiani kurejea Kenya kutoka Zambia

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga, Jumatano alifanya ziara ya siku moja nchini Tanzania, akiwa njiani kurejea nchini...

Wakazi wa Thika wajitokeza kwa wingi kupata chanjo ya Covid-19

Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Thika walifurika kwa wingi kwenye uwanja wa michezo wa Thika ili kupokea chanjo ya Covid-19. Zaidi ya...

Serikali kutumia vijana na wanabodaboda kuendesha kampeni ya amani kuelekea 2022

Na CHARLES WASONGA SERIKALI itatumia makundi ya vijana na waendeshaji bodaboda kuendesha mipango ya kudhibiti ghasia zinazohusiana na...