• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 6:50 AM

Mamilioni yapotelea kwenye miradi duni

Na MAUREEN ONGALA MIRADI ya kunyunyiza maji mashambani iliyoanzishwa katika Kaunti ya Kilifi imeshindwa kuletea maelfu ya wakazi eneo...

Makala ya msanii wa nyimbo za injili Mary Njuguna

NA PATRICK KILAVUKA Mapito na changamoto za maisha zilimchochea kuwahimiza wengine, kuwainua kiimani na kumtumainia Mola zaidi kupitia...

Wafanyabiashara walia ushuru ghali wamnyonga raia

BENSON MATHEKA na WINNIE ONYANDO WATENGENEZAJI bidhaa nchini wamelaumu wanasiasa kwa kutochukua hatua za kupunguzia Wakenya mzigo wa...

Polisi amuua mpenzi wa pembeni aliyelazwa hospitalini

Na STELLA CHERONO WAKAZI katika eneo la Njoro, Kaunti ya Nakuru, walikumbwa na mshtuko baada ya afisa wa polisi kumwandama mpenziwe hadi...

Afisa aonya kuhusu utekaji watoto

Na SAMMY KIMATU AFISA wa uchaguzi amewashauri wazazi wahakikishe usalama wa watoto wao wasitekwe nyara wakiwa nje ya shule. Msimamizi...

Faini Sh10,000 au jela kutema mate jijini

Na COLLINS OMULO UTATOZWA faini ya Sh10,000 au kutupwa jela kwa miezi sita kwa kupenga kamasi bila kitambaa au karatasi ya shashi, au...

Walimu wakosa chanjo ya corona kituoni

Na ALEX NJERU MAMIA ya walimu katika Kaunti ya Tharaka Nithi waliorauka kupewa chanjo ya Covid-19 kabla ya muda wa makataa kukamilika...

Hasara kuu kongamano la magavana likifutiliwa mbali

Na PIUS MAUNDU SHINIKIZO kuhusu kuwalipa wafanyabiashara waliokuwa wamepatiwa kandarasi za kuuza bidhaa na huduma katika kongamano la...

Askofu akubali atamlea na kumtunza mtoto aliyezaa na mshiriki na akaitkia

Na RICHARD MUNGUTI ASKOFU aliyeshtakiwa na mshiriki kwa kumpachika mimba amekubali kumlea mtoto huyo na kukimu mahitaji yake yote. Askofu...

Serikali kutafutia bandari biashara

Na ANTHONY KITIMO SERIKALI imepanga kutuma wajumbe kutafutia biashara bandari ya Lamu katika mataifa jirani kuanzia wiki hii. Hii ni...

Familia moja Gatuanyaga yaomba msaada baada ya jamaa wao kuuawa kinyama

Na LAWRENCE ONGARO FAMILIA moja eneo la Gatuanyaga, Kaunti ya Kiambu, inataka usaidizi wa kifedha baada ya jamaa wao kuhifadhiwa chumba...

Kaunti zahimizwa kukumbatia sheria ya kudhibiti upakiaji wa viazi

Na SAMMY WAWERU KAUNTI ambazo hazijakumbatia sheria ya kudhibiti upakiaji wa viazi mbatata zimehimizwa kuitekeleza. Katibu katika...