• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 3:16 PM

Kilio huku familia 800 zikibomolewa makazi

Na KENYA NEWS AGENCY MTOTO wa miaka minne alijeruhiwa vibaya huku familia zaidi ya 800 zikiachwa bila makao, baada ya nyumba zao...

Onyo kwa wanahabari kuhusu ripoti za kisiasa

Na WANDERI KAMAU WANAHABARI au vyombo vya habari ambavyo vitaonyesha mapendeleo kwa baadhi ya mirengo ya kisiasa vitaadhibiwa vikali...

Binti adai kupigwa sababu hajakeketwa

Na Oscar Kakai MWANAMKE wa miaka 22 kutoka kata ya Murpus, Pokot Magharibi anatafuta haki kwa madai ya kupigwa na kuumizwa na wanawake...

Wauguzi wagomea chanjo ya corona licha ya amri kali

Na Shaban Makokha WAUGUZI katika Kaunti ya Kakamega hawaonekani kuchangamkia chanjo ya corona licha ya Wizara ya Afya kusema ni lazima...

KDF kusaka sare zilizo mikononi mwa raia

Na JOSEPH NDUNDA Idara ya Jeshi nchini (KDF) inachunguza mauzo ya sare zake kwa umma kati ya Januari mwaka jana na Julai mwaka huu,...

Vijana wataka vyuo vya kiufundi vianzishe masomo ya kidijitali

Na STEPHEN ODUOR VIJANA katika Kaunti ya Tana River, wametaka mafunzo ya kisasa yatolewe katika taasisi na vyuo vya kiufundi ili...

WANDERI KAMAU: Tukomeshe unyama huu kwa vijana wa Kenya

Na WANDERI KAMAU JE, ni makosa kuwa kijana nchini? Ni makosa kujihusisha na shughuli za ujana? Ni makosa kuvaa kwa mitindo ya...

Mish analenga kushiriki filamu za Hollywood

Na JOHN KIMWERE NDIO ameanza kupiga ngoma ambapo amepania kukwea milima na mabonde kusudi kutinga levo ya kimataifa katika jukwaa la...

Mish analenga kushiriki fiamu za Hollywood

Na JOHN KIMWERE  NDIO ameanza kupiga ngoma ambapo amepania kukwea milima na mabonde kusudi kutinga levo ya kimataifa katika jukwaa la...

Wanasaikolojia wajadili ongezeko la visa vya watu kujitoa uhai

Na LAWRENCE ONGARO WASHAURI wa maswala ya kisaikolojia wapatao 50 kutoka Kaunti ya Kiambu walijumuika pamoja mjini Thika ili kujadili...

Akana kupora hoteli

Na RICHARD MUNGUTI MWANAUME anayedaiwa aliwakodisha majangili na wahuni wamsaidie kupora hoteli na duka ya mfanyabiashara aliyekuwa...

Mfanyabiashara akiri kuiba Sh0.2m kupitia Mpesa

Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA aliyepokea kimakosa kwa njia ya Mpesa Sh271,200 atalipa faini ya Sh200,000 ama atumikie kifungo cha...