• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 7:50 AM

Mahabusu alalama Kortini hakupewa chakula akiwa rumande

Na RICHARD MUNGUTI RAIA wa Kenya aliyeshtakiwa kwa kughushi cheti cha kusafiri kutoka Afrika kusini kuhepa ghasia na vurugu iliyotokea...

Haji aamuru polisi sita washtakiwe kwa mauaji ya ndugu wawili

Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa mashtaka ya Umma Noordin Haji Jumatatu aliagiza kukamatwa kwa maafisa sita wa polisi kuhusiana na mauaji...

Wamaasai wataka operesheni Laikipia isitishwe

Na RICHARD MUNGUTI BARAZA la Jamii ya Maasai limewaliwasilisha kesi mahakama kuu likiomba operesheni ya maafisa wa usalama katika Kaunti...

Watatu wahofiwa kufariki katika ajali ya boti Lamu

NA KALUME KAZUNGU WAVUVI watatu hawajulikani walipo baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kusombwa na mawimbi makali baharini eneo la...

Yaibuka Wizara ya Utalii imemumunya mabilioni ya pesa za umma

Na MAUREEN ONGALA KAMATI ya Bunge inayosimamia Utekelezaji, imeibua madai ya ufujaji wa mabilioni ya pesa za umma zilizonuiwa kujenga...

Mhukumiwa aeleza jinsi walivyomuua naibu gavana

Na BRIAN OCHARO MHUKUMIWA katika kesi ya mauaji ya aliyekuwa Naibu Gavana wa Kaunti ya Kilifi, Kenneth Kamto, ameeleza jinsi mauaji hayo...

TSC yashtakiwa kukata ada walimu wasio vyamani

Na FAITH NYAMAI WALIMU wawili wamewasilisha kesi kortini wakitaka Wizara ya Leba izuiwe kuidhinisha hatua ya Tume ya Huduma za Walimu...

Watumiaji mitandao ya kijamii wataka haki itendeke kwa ndugu wawili waliofariki mikononi mwa polisi

Na SAMMY WAWERU SIKU mbili baada ya ndugu wawili waliofariki mikononi mwa maafisa wa polisi Embu kuzikwa, watumiaji mitandao ya kijamii...

Mpiganiaji demokrasia Nthenge azikwa kwake bila mbwembwe

Na PIUS MAUNDU ALIYEKUWA mbunge wa Kamukunji na mpiganiaji wa mfumo wa vyama vingi vya kisiasa George Geoffrey Wilson Nthenge alizikwa...

Wakazi wataka Rais aepuke siasa za urithi

Na KNA WAKAZI wa Nyeri, sasa wanamtaka Rais Uhuru Kenyatta kujishughulisha na jinsi Wakenya watakavyomkumbuka baada ya kustaafu badala...

Wakazi wahofia vita vya jamii za wafugaji

Na FLORAH KOECH WAKAZI katika maeneo yanayokabiliwa na visa vya wizi wa mifugo katika Kaunti ya Baringo wameelezea hofu kwamba hatua ya...

Hospitali yakiri kulemewa na wagonjwa wa corona

Na CHARLES WASONGA HOSPITALI ya Mafunzo, Utafiti na Rufaa ya Chuo Kikuu cha Kenyatta (KUTRRH) imetangaza kuwa imelemewa na idadi kubwa...